Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
I like thisMie nina BWAWA. Sihitaji bwawa jingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I like thisMie nina BWAWA. Sihitaji bwawa jingine
🤣🤣🤣 Amna bwana inawezekana unatengeneza tu kabwa flani simple sio razima liwe luxury, unachibwa kibwawa cha kimtindo hata cha mita 5 kwa 2hizi mambo zinapendeza sana nyumba safi za kishua kama za masaki,oysterbay,mbezi beach au kwa wenye pesa zao ila kina sie wenye vinyumba vya 20×30 na havina hata fensi alafu eti una kibwawa umeweka samaki hapo paka hawachezi mbali hata ukisema umejenga hio pond ili uwe unapiga mbizi wabongo waliojaa roho ya kwanini watakuona unajishaua basi watamwaga upupu humo ndani alafu jitupe uone..