***JE,UNAJUTIA TAALUMA/KAZI ULIYOISOMEA /KAZI UNAYOIFANYA, ?UNAFURAHIA NA KUJIVUNIA TAALUMA/ KAZI YAKO?***

***JE,UNAJUTIA TAALUMA/KAZI ULIYOISOMEA /KAZI UNAYOIFANYA, ?UNAFURAHIA NA KUJIVUNIA TAALUMA/ KAZI YAKO?***

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
611
Reaction score
993
1)JE? unajutia kwanini ulisomea taaluma ya kazi yako ya sasa??ulishawahi jilaumu kwa nini ulisomea kazi yako uliyonayo sasa wakati wakati una apply ulikuwa na uwanja mpana wa machagua ya fani mbalimbali tofauti?

2)Je? unahisi haukuwa na information za kutosha/ exposure
ya fani/ujuzi wa kazi uliyoisomea kipindi unajiunga na chuo cha taaluma ujuzi uliosomea.

3)Je?unafurahia taaluma yako kazi yako unayoifanya sasa.

4)Je ? uhalisia wa kazi yako ni tofauti na matarajio yako kipindi ukiwa unasoma chuo.

5)Je? kuna fani/kazi ulikuwa unazidharau hapo mwanzo kipindi unafanya application lakini baadae ukaja kugundua zilikuwa ni chaguo bora kuliko fani/kazi uliyosomea .?

6)Je? umewahi kubadilisha fani mfano first degree mbili tofauti,baada ya kuhitimu degree ya kwanza baadae ukaenda kusoma upya degree ya kwanza nyingine tifauti na ile ya mwanzo, au diploma nyingine mpya tofauti na ya kwanza.

**UNAKABILIANA vipi na stress za kazi yako,ulifanikiwa vipi kuzitatua
,**una ushauri upi kwa anayepitia changamoto za STRESS ZA KAZI kama ya kwako.
 

Attachments

  • images (17).png
    images (17).png
    38.3 KB · Views: 3
  • images (15).png
    images (15).png
    32.9 KB · Views: 3
  • images (16).png
    images (16).png
    38.8 KB · Views: 3
  • images - 2025-01-01T172212.706.jpeg
    images - 2025-01-01T172212.706.jpeg
    32.6 KB · Views: 2
UALIMU WA MASOMO YA SCIENCE NGAZI YA DEGREE HASA CHEMI NA BIO UPUUUZIIII, ACHANA NA MSHAHARA HATA AJIRA HAKUNA
pole sana nilisoma hiyo B.Sc CH & BIO with Edu MUCE 2006 nikafanya na BTP kabisa,mwaka wa pili 2007/8 nika drop collage ,nikaenda kuanza upya bachelor nyingine kabisa.
Class mate wenzangu walimaliza ila kuna baadhi walienda kuanza upya bachelor nyingine za afya ,wengine walienda kusomea mambo ya petroleum ,wengine walikomaa kwa sasa ni walimu/wakufunzi wazuri kabisa.
Tupo pamoja mwalimu mwenzangu.
 
1)JE? unajutia kwanini ulisomea taaluma ya kazi yako ya sasa??ukishawahi jilaumu kwa nini ukisomea kazi yako uliyonayo sasa wakati ulikuwa na uwanja mpana wa kuchagua fani mbalimbali?

2)Je? unahisi haukuwa na information za kutosha exposure
ya fani/ujuzi wa kazi uliyoisomea kipindi unajiunga na chuo cha taaluma ujuzi uliosomea.

3)Je?unafurahia taaluma yako kazi yako unayoifanya sasa.

4)Je ? uhalisia wa kazi yako ni tofauti na matarajio yako kipindi ukiwa unasoma chuo.

5)Je? kuna fani/kazi ulikuwa unazidharau lakini baadae ukaja kugundua zilikuwa ni chaguo bora kuliko fani/kazi uliyosomea .?

6)Je? umewahi kubadilisha fani mfano first degree mbili tofauti,baada ya kuhitimu degree ya kwanza baadae ukaenda kusoma upya degree ya kwanza nyingine tifauti na ile ya mwanzo, au diploma nyingine mpya tofauti na ya kwanza.

CHANGAMOTO ni zipi katika kuzifikia ndito zako na ulifanikiwa vipi kuzitatua,una ushauri upi kwa anayepitia changamoto kama ya kwako.
Hakuna cha kujutia
 
Back
Top Bottom