Je, unakumbuka nini kuhusu migomo shule za sekondari?

Je, unakumbuka nini kuhusu migomo shule za sekondari?

Kweli kabisa mkuu nakumbuka sisi kipindi tunakimukisha ndo nilikuwa na miaka20 Olevel form3 mwanzilishi wa mgomo alikuwa jamaa yetu mmoja alifahamika kama idd Amin huyu Kila kitu akisema kinatekelezwa form one wakizingua tu anasema kesho mnafagia shule yote form one pekee hakuna atakae bishi.

Siku ya mgomo tulikula sna kuku na simu hazikuwepo nyingi kivilee Hadi police waje walimu wameimba kwaya sana na kuruka majoka ya Kila aina.

Nakumbuka mlinzi alienda kuponea bugando.tangu hapo akastaafu kazi rasimi
Hamna ukubwa wowote tuliokua nao miaka ndio hii hii 17 - 21 tupo O'level, sema kipindi hiko tulikua tunafundishwa vizuri haswa. Sio mitoto ya sasa linafika hadi 23 halijui kitu jinga jinga tu.Shule za kata ni majanga.
 
Mlinzi kupigwa ilikuwa kawaida Wala hufukuzwi yaani sawa na mswaki kwenye kunywa.

Nilienda shule Moja ya advance nikamkuta mlinzi kawapigisha magoti wanafunzi kama 21 na wakiume wote niliumia sana Ile basi tu. Enzi zetu mlinzi hata akikutana na nanyi njiani anakimbia kama mwizi bila hata kufukuzwa Leo hii huu ujasiri wameupata wapi?

Asee enzi hizo ilikuwa basi tu hata ngumi shule sijui kuanzia asbh Hadi jioni hujasikia hata tetesi tu basi siku hiyo mwalimu wa zamu atatoa sadaka.

Chooni ndo ilikuwa jehanamu ya form one ikifika muda WAALIMU wanakaa kule Ili form one wajisaidie asee ni basi ukiwaambia saivi eti wanakubishia kabisa kabisa 😂😂😂
 
Hivi huduma shule za sekondari Tanzania zimeboreshwa? Nakumbuka miaka ya 90's tulikua tukisikia migomo ya wanafunzi kila kukicha.

Miaka ile ndio palitokea mgomo Sekondari ya Tambaza na wanafunzi wote tulisambaratishwa kwa kuhamishwa na shule kubadilishwa kua High School. Je, unakumbuka nini kuhusu Migomo shule za Sekondari?
Ilikuwa 1994
 
Watoto sahv kutwa kushindana kukatika mauno tu

Ova
 
Back
Top Bottom