Je unampenda mpenzi au mume wako?

Je unampenda mpenzi au mume wako?

miminimama

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2018
Posts
696
Reaction score
1,818
Nyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.

Vipi wewe uliyenaye unampenda? Je ni baraka kwako?au bora liende. G wangu tuendelee kufaidi mema ya dunia. Mimi na wewe damu damu.
 
Nyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.

Vipi wewe uliyenaye unampenda? Je ni baraka kwako?au bora liende. G wangu tuendelee kufaidi mema ya dunia. Mimi na wewe damu damu.
Hii G sasa nikahisi mimi ndo nimeambiwa...[emoji23]
 
Mmetoka kwenye mapenzi mpo kwenye mahusiano sahivi ndio maana mambo matamu matamu,subirini muingie kwenye VURUGU! maana system ipo hivi yanaanzaga Mapenzi yanafuata mahusiano halafu vurugu!.

Kila raheli.
 
Mmetoka kwenye mapenzi mpo kwenye mahusiano sahivi ndio maana mambo matamu matamu,subirini muingie kwenye VURUGU! maana system ipo hivi yanaanzaga Mapenzi yanafuata mahusiano halafu vurugu!.

Kila raheli.
Kwetu hakuna vurugu.
Na haitotokea.
 
Hongera. Mimi ni Mwanaume nategemea Mke wangu atajibu hapa
Nyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.

Vipi wewe uliyenaye unampenda? Je ni baraka kwako?au bora liende. G wangu tuendelee kufaidi mema ya dunia. Mimi na wewe damu damu.
 
G wako alipo mida hii👇😁😁😁
UDj.jpg
 
Back
Top Bottom