miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
Hii G sasa nikahisi mimi ndo nimeambiwa...[emoji23]Nyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.
Vipi wewe uliyenaye unampenda? Je ni baraka kwako?au bora liende. G wangu tuendelee kufaidi mema ya dunia. Mimi na wewe damu damu.
Best kwetu raha tu.Hongera sana best,, endelea kufurahika [emoji7][emoji7]
Initial ya G inatajagwa sana humu..Hii G sasa nikahisi mimi ndo nimeambiwa...[emoji23]
Kwetu hakuna vurugu.Mmetoka kwenye mapenzi mpo kwenye mahusiano sahivi ndio maana mambo matamu matamu,subirini muingie kwenye VURUGU! maana system ipo hivi yanaanzaga Mapenzi yanafuata mahusiano halafu vurugu!.
Kila raheli.
Nyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.
Vipi wewe uliyenaye unampenda? Je ni baraka kwako?au bora liende. G wangu tuendelee kufaidi mema ya dunia. Mimi na wewe damu damu.
Sana, mara chache sana Gs huwa zinazingua. Tuendelee kuwa vinaraInitial ya G inatajagwa sana humu..
Seems like sisi maG ni magentlemen kinoma.
Mbarikiwe wakina G....Sana, mara chache sana Gs huwa zinazingua. Tuendelee kuwa vinara
Kuwa makini usichizike kwa utamu, [emoji28][emoji28]Mbarikiwe wakina G....
Kila la heri liwe juu yenuKwetu hakuna vurugu.
Na haitotokea.
Sana raha kama zote yani,Best kwetu raha tu.
Natumai na kwako hivyo.
[emoji23][emoji23]We mzee wewe..G wako alipo mida hii[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2042770
Boss ww ni mchonganishi sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]G wako alipo mida hii[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2042770
Na mie ndo huyo niliyemlaliaG wako alipo mida hii[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2042770