miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
-
- #21
AmeenKila la heri liwe juu yenu
Si majizzo.hongera furahia maisha na baba G wako, sijui ndo yule mwenye ile efm
Best acha tu ni raha sana.Sana raha kama zote yani,
We need to see more of these posts .Nyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.
Exactly!Hongereni sana
Love is a beautiful thing .
HahahaNyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.
Vipi wewe uliyenaye unampenda? Je ni baraka kwako?au bora liende. G wangu tuendelee kufaidi mema ya dunia. Mimi na wewe damu damu.
Hongera sana best,, endelea kufurahika ππ
Mbarikiwe wakina G....
G wako alipo mida hiiππππ
View attachment 2042770
ni wiki ya ngapi hii toka muwe pamoja?Nyie mie jamani nampenda huyu baba. Nampenda sana. Kuna mda nikimuangalia tu nawashwa. Amefanyika neema na baraka sana kwenye maisha yangu.
Vipi wewe uliyenaye unampenda? Je ni baraka kwako?au bora liende. G wangu tuendelee kufaidi mema ya dunia. Mimi na wewe damu damu.
Mwaka wa tano.ni wiki ya ngapi hii toka muwe pamoja?
Hatujaachana.