Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Utafiti uliofanyika Uingereza Mwaka 2022 umeonesha Takriban nusu ya wanaume ambao hawajaoa walisema hawafui shuka zao hadi miezi minne hivi kwa wakati mmoja, huku 12% wakikiri kuwa wanazifua wanapokumbuka - ambapo inaweza kuchukua muda mrefu zaidi.
Wakati wanawake ambao hawajaolewa 62% wakisafisha shuka zao kila baada ya wiki mbili
Wakati wanawake ambao hawajaolewa 62% wakisafisha shuka zao kila baada ya wiki mbili