Je, unapata Changamoto kuchangia "Tone Tone" ya CHADEMA? Tumia njia nyingine hizi hapa

Manina, mmeweka na mrembo kabisa Ili mtu asifeel pain anapokwanguliwa jero au buku Yake. Sisi wengine tusio nyumbu tunataka zikae picha za walaji wakuu wenyewe kwanza ndo tutor. Namaanisha kina heche, lema na mwenzake lissu.
 
Manina, mmeweka na mrembo kabisa Ili mtu asifeel pain anapokwanguliwa jero au buku Yake. Sisi wengine tusio nyumbu tunataka zikae picha za walaji wakuu wenyewe kwanza ndo tutor. Namaanisha kina heche, lema na mwenzake lissu.
 
CDM kazeni BUTI wameshaanza KUPAGAWA..mara TCRA mara matukio ya ajabu ajabu kama kutekana..KOMAENI tupo nyuma yenu..na tone tone nimeshatuma na nitatuma tena na tena
Bwahabwahahahahaaa! Tuma kamanda tuma.....wapo ofisini wanaisubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…