Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumia ukiwa wapi mdau wa vegetables hivi unadhani kuna pain kubwa zaidi ya vegetables wanavyotufanyia na kodi zetu wanavyotapanya kwa ulaghai?Manina, mmeweka na mrembo kabisa Ili mtu asifeel pain anapokwanguliwa jero au buku Yake. Sisi wengine tusio nyumbu tunataka zikae picha za walaji wakuu wenyewe kwanza ndo tutor. Namaanisha kina heche, lema na mwenzake lissu.
Ewe nyumbu, mi siumii chochote sababu si mmojawapo katika hao waibiwao kizembe.Unaumia ukiwa wapi mdau wa vegetables hivi unadhani kuna pain kubwa zaidi ya vegetables wanavyotufanyia na kodi zetu wanavyotapanya kwa ulaghai?
Watu wengine mnatakiwa kuwapuuza tu, utapotea njia kama kila mbwa anayebweka njiani unataka umrushie mawe!Una akili nyembamba sana
Baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi, kuna mtu aliagizwa atubu akagoma kutubu.Chadomo hoyee
Usiondoke jfMpaka sasa hivi zimepatikana sh. ngapi?
Kaka Sisi wa Halotel tunajiungaje na Tone tone?Chagua uitakayo
View attachment 3255169
Na nyingine hii
View attachment 3255173View attachment 3255175
Mungu akujazie Patakapopungua, Amina
Usiondoke JF wakati tunawsiliana na WahusikaKaka Sisi wa Halotel tunajiungaje na Tone tone?
Sawa sawaUsiondoke JF wakati tunawsiliana na Wahusika
AmeenNimeshaweka tone langu kusaidia harakati za chama, tuchangie kwa wingi hadi majizi yaone wivu.
No reforms no election