Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,261
- 3,580
Kama ni hivyo ingia kitaa soma soko vizuri, ingia site wanazolima mchicha hapo dodoma pata dondoo kadhaa juu ya uzalishaji na changamoto. Baada ya hapo ingia mzigoni mkuu.Nimekaa jobless sana,nataka kidogo nipambane na kilimo cha bustani,nina laki 2 kuanzia ekari 1 tu nipige kazi hiyo,naona dodoma kuna uhitaji wa mboga sana kuliko supply.