Je, unapenda kuwa na makalio makubwa bila kutumia dawa yoyote?

Je, unapenda kuwa na makalio makubwa bila kutumia dawa yoyote?

Nilijua nkiingia kwny huu uzi kuna wadada lazima ntawakuta
 
Hahaha. ..mi napenda miss bantu shekh hawa vimbaumbau labda itokee tu ila haswa napenda wale walojazwa neema za Allah.

Sio maneno yangu jamani ni shekh kipozeo
 
Kuna wanawake wanapenda kuwa na makalio makubwa kuliko akili zao.
 
Hahaha. ..mi napenda miss bantu shekh hawa vimbaumbau labda itokee tu ila haswa napenda wale walojazwa neema za Allah.

Sio maneno yangu jamani ni shekh kipozeo
Utakuja tamani wanaume wenzio humu jf watu wanaweka avanta zisizo harisi na majina yasiyokuwa yakwao
 
Yaaani chura siku hiz imekuwa fasheni duuuh, mpk nanihiiiiii analo
 
14021566_1174875265868433_5487461839519883250_n-jpg.484250


Jaribu miss chagga! Yanaota kweli. Ata kama ni makalio flat, tuvitumbua tunaumuka...
 
Iikipatikana dawa ya kuongeza akili mnishtue kuna watu niwanunulie
 
Ukitaka kuwa na kalio kubwa kama hilo chambia hamira wiki moja uone, utapata matokeo safi [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tusidanganyane nyie mnaokataa, wakt huwa mnaona wivu mwenzenu mwenye mzigo anapopita mahala licha ya wanaume kumtolea mimacho tu Bali na wanawake wenzie wanamtolea mimacho pamoja na kumsaminisha...Bali inafikia wengine kutokana na mapenz kama hayo anaamua kumfanyia mpango kaka yake akam......,[emoji131]
 
Ila kwa sasa wanawake wana shida iliyobaki ni kutafuta mwanamke mwenye kichwa kikubwa
 
Back
Top Bottom