Je, unatafuta mke? Basi usihangaike tena......

Je, unatafuta mke? Basi usihangaike tena......

Ni kwa nini utafutiwe mwanamke ??? wewe si mwanamme Rijari hata ujitafute mwenyewe una matatizo gani??

Kwani urijari unauhusiano gani na kutafuta mke, yapo machoko mangapi yameoa hapa mjini na yanajulikana dhahiri Mfano Mauli K wa ....one.
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=icUHE4r_2TQ"]http://www.youtube.com/watch?v=icUHE4r_2TQ[/ame]
 
Ni kwa nini utafutiwe mwanamke ??? wewe si mwanamme Rijari hata ujitafute mwenyewe una matatizo gani??
Kuna tofauti kati ya Urijali na Udomo zege! kwa hiyo kua rijali sio kwamba ndo unaweza kutokea mademu au kua domo zege sio kwamba wewe si rijali!
 
Kwani urijari unauhusiano gani na kutafuta mke, yapo machoko mangapi yameoa hapa mjini na yanajulikana dhahiri Mfano Mauli K wa ....one.

inaonyesha ni jinsi gani mwanamme huna confidence ya ku-face the reality
 
Jamani mke mwema/mume mwema hutoka kwa Mungu mwenyewe -

Kabla ya kutafuta mwenza, Mwombe Mungu wako - Mungu anakujua tabia yako, anaijua kesho yako, udhaifu wako, etc. Na atakupa mke/mume ambaye mnaweza kuishi pamoja.

Haijalishi yuko kijijini, mjini, nchi za nje etc. mradi tu mtangulize Mungu.

Kupata mke kijijini ilikuwa zamani enzi za wazazi wetu. Enzi ambapo mwanaume alikuwa anafanya kazi mjini na wanawake wengi walikuwa kijijini wakifanya kazi za shambani, kuchota maji, kupiga - in short hawakuwa na darasa au kazi. LAKINI ENZI HIZI - gender zote wapo mjini - wakilijenga taifa - na ndio hao tunaokutana nao hapa hapa mjini - KUKIMBILIA KIJIJINI UPATE MKE - NI NGUMU - MKIMBILIE MUNGU - akupe mke/mume bora - WAPO wengi tu

LAKINI MWANAUME KAMA NI MHUNI, MLEVI, MBINAFSI - kweli Mungu atakupaje mke mwema?? au MWANAMKE kadhalka mwenye tabia mbovu - utapataje MUME mwema?? NI KIASI CHA KUJIPANGA SAWA SAWA MBELE ZA MUNGU, KUOMBA KWA KUFUNGA - NA MUNGU ATAKUPA ANAYEFANANA NAWEWE MWENYEWE.
 
mke mzuri ni yule mnayekutanana naye na kukubaliana kwani ndoa ni ya wawili tu
 
...VeraCity, hata mimi ningeweza rudisha nyuma miaka, ningewaomba dada zangu na kina mama ninaowajua wanisaidie kutauta mke atayenifaa... Haya mambo ya u-Girlfriend wengine wanaficha sana makucha yao bana...

Bravooo!!
 
sijambo jipya sana kumtafutia mtu mchumba...cha muhimu mtafutaji anakuwa makini maana anavaa uhusika wa mhusika/mme na kwa kiasi fulani anamsaidia sana kumuunganisha na manzi na uchumba huanza, ngoma lazima wapime. suala la matatizo mbeleni ni ishu nyingine. ni utaratibu tu wa kawaida na ktk malovee hakuna specific style ya kudance....just as u match with ur manzi ambayo it gives out peace n love
 
Kuna myanaume hata ipatiwe mke mwema kiasi gani haioni kabisa.
Kila Mke ni mwema na ametoka kwa Mungu.
Wake wengi wamekuwa walivyo ni kutokana na walivyotendwa.

Thamani ya kitu inakuja pale unapokikosa.

MKE MWEMA NI YUPI??

Kila mmoja anahitaji lake, WANAUME wengi wanafikiri mke mwema ni yule asiyehoji chochote hata akitendewa vibaya. Asipatiwe matunzo na asiulize, mme arudi md-night mke asiuleze, mme akihitaji huduma husika apatiwe bila hata kumwandaa mkewe, mke asiyejua kipato na matumizi ya mmewe.

Je huyo ndo mke mwema unayemtaka???

Mpende mkeo, mpe uhuru wa kukujua, usimfiche mambo yako, mke ni rafiki yako, mpende. Utaona jinsi naye anavyokujali na kukuheshimu. Ukianza kumvunjia heshima, mke ni kiumbe mbaya sana. She plays back very rough.

WITO: MPENDE MKEO ATAKUWA MWEMA DAIMA, USIKOSE KUMWOMBA MUNGU PIA.
Mke mwema ni wewe utamtengeneza kwa jinsi unavyomjali na kumpenda.
 
Kuna myanaume hata ipatiwe mke mwema kiasi gani haioni kabisa.
Kila Mke ni mwema na ametoka kwa Mungu.
Wake wengi wamekuwa walivyo ni kutokana na walivyotendwa.

Thamani ya kitu inakuja pale unapokikosa.

MKE MWEMA NI YUPI??

Kila mmoja anahitaji lake, WANAUME wengi wanafikiri mke mwema ni yule asiyehoji chochote hata akitendewa vibaya. Asipatiwe matunzo na asiulize, mme arudi md-night mke asiuleze, mme akihitaji huduma husika apatiwe bila hata kumwandaa mkewe, mke asiyejua kipato na matumizi ya mmewe.

Je huyo ndo mke mwema unayemtaka???

Mpende mkeo, mpe uhuru wa kukujua, usimfiche mambo yako, mke ni rafiki yako, mpende. Utaona jinsi naye anavyokujali na kukuheshimu. Ukianza kumvunjia heshima, mke ni kiumbe mbaya sana. She plays back very rough.

WITO: MPENDE MKEO ATAKUWA MWEMA DAIMA, USIKOSE KUMWOMBA MUNGU PIA.
Mke mwema ni wewe utamtengeneza kwa jinsi unavyomjali na kumpenda.


CMM
Hapo umekomelea penyewe!
Asante ndugu yangu imetulia sana hii.
 
Back
Top Bottom