John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Habari wakuu,
Bila kupoteza muda, Nawasilisha ombi langu la ridhaa ya kutafuta masoko na kuuza bidhaa yoyote halali kama vile ardhi,magari, au bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni,taasisi au maduka binafsi kwa makubaliano maalum ya malipo kwa commission ya asilimia kadhaa kadri tutakavyokubaliana pindi tu biashara inapokamilika ambayo tutakubaliana katika maandishi kama mkataba.
Uaminifu wangu ni wa hali ya juu na nina uzoefu katika mauzo na utafutaji wa masoko ambazo zote nitafanya kwa gharama yangu binafsi.
Kwa yeyote ambaye atakuwa tayari tuzungumze tafadhali acha comment yako hapa nitakufuata 'pm' au unaweza kuni 'pm' moja kwa moja (mniwie radhi kutokuacha namba za simu hapa kutokana na kulinda 'privacy' yangu ila tutawasiliana vizuri 'pm' ).Ahsante
Bila kupoteza muda, Nawasilisha ombi langu la ridhaa ya kutafuta masoko na kuuza bidhaa yoyote halali kama vile ardhi,magari, au bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni,taasisi au maduka binafsi kwa makubaliano maalum ya malipo kwa commission ya asilimia kadhaa kadri tutakavyokubaliana pindi tu biashara inapokamilika ambayo tutakubaliana katika maandishi kama mkataba.
Uaminifu wangu ni wa hali ya juu na nina uzoefu katika mauzo na utafutaji wa masoko ambazo zote nitafanya kwa gharama yangu binafsi.
Kwa yeyote ambaye atakuwa tayari tuzungumze tafadhali acha comment yako hapa nitakufuata 'pm' au unaweza kuni 'pm' moja kwa moja (mniwie radhi kutokuacha namba za simu hapa kutokana na kulinda 'privacy' yangu ila tutawasiliana vizuri 'pm' ).Ahsante