Je, unatafuta Mume?

Je, unatafuta Mume?

Maziwa mengi hajamaanisha ukubwa wa matiti. Anamaanisha kama alishawahi kuzaa akawa anatoka maziwa mengi yale meupe. Ndio hataki.
 
Mpk sasa hajaja inbox huyo asiye na maziwa mengi inaonekana wenye mengi ndio wapo wengi
 
Wenye maziwa mengi tusisogee😃😃

Basi anyetaka maziwa mengi nipo hapa kuwakilisha
 
Mpk sasa hajaja inbox huyo asiye na maziwa mengi inaonekana wenye mengi ndio wapo wengi
Sasa umeanza kwa kuwakebehi maumbile yao, unafiki watakuja kufanya nini?. Tafuta mwenye upendo wa dhati, ukiangalia maumbile hutapata maana kila binadamu ana madhaifu yake.
 
Wanene sio wabaya sema wengine wanakuwa usafi sifuri ,wanakuwa na makovu kovu na mistari kwenye Ngozi .mm spendi hayo mambo
Usitusingizie hayo makovu labda ulikutana na mnene aliyepata matatizo mwilini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom