Wasalaam,
Kwa wale wanaotaka kuanzisha NGO ama zile zilizokwisha kuanza ipo changamoto moja kubwa ya kupata ufadhili wa miradi.
Hata hivyo kabla ya kuwaza ufadhili, Suala la mifumo linaanza kwanza. Sababu ni kuwa hamna mfadhili ambaye yupo tayari kutoa pesa yake wakati anajua hakuna usimamizi na uwajibikaji wa kikanuni na taratibu kwa fedha atakayo toa. Maana yake ni kuwa, pesa italiwa na hakuna atakaye wajibishwa maana hamna taratibu za kumwajibisha mhusika.
Hivyo basi ni muhimu kila asasi ikawa na sera, kanuni na taratibu katika maeneo yote kabla ya kuanza kutafuta wafadhili. Hii ndiyo tunaita mifumo. Ikiwa utawaza kutofanya hivi na kisha uombe ufadhili kupitia andiko lako zuri sana uliloandikiwa na mtaalam wa 'proposal writing ' shida itakayokupata ni wakati wa ukaguzi au 'organisation capacity assessment ' OCA. Hapa lazima unyooshwe kama hauna mifumo.
Baada ya mifumo, suala la kutafuta ufadhili ni muhimu sana. Zipo namna mbalimbali za kutafuta ufadhili. Wapo wafadhili wa ndani na wafadhili wa nje ya nchi.
Wafadhili wanaweza kuweka tangazo la kuita wenye maandiko (proposal) au mawazo (concept note) wayawasilishe kwao. Lakini yapo mashirika hawatangazi, wao wapo open kwa idea yoyote au kulingana na kazi zao wanaruhusu ulete wazo lako.
Wafadhili wa ndani mara nyingine hasa kwa siku hizi ambazo NGO ni nyingi ushindani ni mkubwa sana. Hapa inabidi uwe andiko zuri sana na pia LABDA kumjua 'MTU'. NGO ikiwa well established ni rahisi kupata ufadhili wa ndani. Ila kwa NGO changa hili lina ugumu kdg unless ufadhili huo unahusu asasi ndogo specifically.
Kwa ufadhili wa nje kwa maoni yangu hasa kwa NGO ndogo zilizotimiza Sharti la kwanza la mifumo ni rahisi zaidi. Shida kubwa hapa ni kupata taarifa yaani 'call for proposals' na muandishi wa hizo proposal. Si kweli kuwa kila andiko unalopeleka utapata, kumbuka pia ushindani hata huko upo pia hivyo basi utatakiwa kuandika proposal na concept note nyingi kadri iwezekanavyo.
Je unahitaji mifumo katika asasi yako inayoanza AMA asasi yako ndogo ?
Tutakutengenezea mifumo mfano, sera mbalimbali, usimamizi wa rasilimali watu, majukumu/kazi za wafanyakazi na pia tutakuandikia na kuwasilisha maandiko ya miradi na mawazo ya miradi kwa wafadhili wa ndani na nje.
Interested??
emicoltd80@gmail.com
Kwa wale wanaotaka kuanzisha NGO ama zile zilizokwisha kuanza ipo changamoto moja kubwa ya kupata ufadhili wa miradi.
Hata hivyo kabla ya kuwaza ufadhili, Suala la mifumo linaanza kwanza. Sababu ni kuwa hamna mfadhili ambaye yupo tayari kutoa pesa yake wakati anajua hakuna usimamizi na uwajibikaji wa kikanuni na taratibu kwa fedha atakayo toa. Maana yake ni kuwa, pesa italiwa na hakuna atakaye wajibishwa maana hamna taratibu za kumwajibisha mhusika.
Hivyo basi ni muhimu kila asasi ikawa na sera, kanuni na taratibu katika maeneo yote kabla ya kuanza kutafuta wafadhili. Hii ndiyo tunaita mifumo. Ikiwa utawaza kutofanya hivi na kisha uombe ufadhili kupitia andiko lako zuri sana uliloandikiwa na mtaalam wa 'proposal writing ' shida itakayokupata ni wakati wa ukaguzi au 'organisation capacity assessment ' OCA. Hapa lazima unyooshwe kama hauna mifumo.
Baada ya mifumo, suala la kutafuta ufadhili ni muhimu sana. Zipo namna mbalimbali za kutafuta ufadhili. Wapo wafadhili wa ndani na wafadhili wa nje ya nchi.
Wafadhili wanaweza kuweka tangazo la kuita wenye maandiko (proposal) au mawazo (concept note) wayawasilishe kwao. Lakini yapo mashirika hawatangazi, wao wapo open kwa idea yoyote au kulingana na kazi zao wanaruhusu ulete wazo lako.
Wafadhili wa ndani mara nyingine hasa kwa siku hizi ambazo NGO ni nyingi ushindani ni mkubwa sana. Hapa inabidi uwe andiko zuri sana na pia LABDA kumjua 'MTU'. NGO ikiwa well established ni rahisi kupata ufadhili wa ndani. Ila kwa NGO changa hili lina ugumu kdg unless ufadhili huo unahusu asasi ndogo specifically.
Kwa ufadhili wa nje kwa maoni yangu hasa kwa NGO ndogo zilizotimiza Sharti la kwanza la mifumo ni rahisi zaidi. Shida kubwa hapa ni kupata taarifa yaani 'call for proposals' na muandishi wa hizo proposal. Si kweli kuwa kila andiko unalopeleka utapata, kumbuka pia ushindani hata huko upo pia hivyo basi utatakiwa kuandika proposal na concept note nyingi kadri iwezekanavyo.
Je unahitaji mifumo katika asasi yako inayoanza AMA asasi yako ndogo ?
Tutakutengenezea mifumo mfano, sera mbalimbali, usimamizi wa rasilimali watu, majukumu/kazi za wafanyakazi na pia tutakuandikia na kuwasilisha maandiko ya miradi na mawazo ya miradi kwa wafadhili wa ndani na nje.
Interested??
emicoltd80@gmail.com