Je, Unataka kuanzisha kituo cha radio?

Je, Unataka kuanzisha kituo cha radio?

Una ndoto za kumiliki kituo cha radio?

Semina yetu ni ijumaa wiki hii kuanzia saa nane mchana katika ukumbi wa Brunei Executive Resort Ubungo, Dar es salaam.

Upo karibu na kituo cha daladala mawasiliano au simu 2000.

Ada ya ushiriki ni Tshs 25,000/ tu. Thibitisha ushiriki wako kwa namba 0768188429.
shapeimage_11.png
 
Unapata material haya kwa njia ya email unajisomea na unapata fursa zaidi ya kuuliza maswali na kujibiwa. Gharama nafuu kabisa: 0768188429
Cover.jpeg
 
Je, umekuwa na ndoto za kuanzisha kituo cha radio?

Tumia fursa hii kutimiza ndoto zako. Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA imetangaza masafa kwa wale wanaohitaji kuomba kuanzisha radio.

Masafa haya yametangazwa tangu tarehe 5, October 2016 na Deadline ni tarehe 18 November, 2016.


Kampuni yetu ya Broadcast Technology Limited itakuandikia documents hizi kwa ubora mkubwa. Mawasiliano: 0768188429 (Whatsapp/Call)


Maeneo yaliyotangazwa masafa na aina za leseni zitakazotolewa:-

1. Morogoro Mjini- (Commercial 1 na Non-Commercial 1)

2. Kilosa (Commercial 1)

3. Mlimba (Commercial 1)

4. Kilombero (Commercial 1)

5. Kigoma Mjini (Commercial 2, non commercial 2)

6. Kasulu (Commercial 2, non commercial 1)

7. Buhingwe (Commercial 2)

8. Uvinza (Commercial 2)

9. Kakonko (Commercial 1)

10. Kibondo (Commercial 1)

11. Geita Mjini (Commercial 2)

12. Chato (Commercial 1)

13. Bukombe (Commercial 1)

14. Nyang’wale (Commercial 1)

15. Shinyanga Mjini (Commercial 1)

16. Bariadi (Commercial 1)

17. Meatu (Commercial 1)

18. Mtwara Mjini (Commercial 2)

19. Masasi (Commercial 1, non commercial 1)

20. Nachingwea (Commercial 1)

21. Tandahimba (Commercial 1)

22. Dodoma Mjini (commercial 2, non commercial 3)

23. Kondoa (Commercial 2, non commercial 1)

24. Mpwapwa (Commercial 2)

25. Singida Mjini (Commercial 2, non commercial 2)

26. Iramba (Commercial 1, non commercial 1)

27. Manyoni (Commercial 1, non commercial 1)

28. Tanga Mjini (Commercial 1)

29. Handeni (commercial 1)

30. Kilindi (Commercial 1)

31. Mkinga (Commercial 1)

32. Sumbawanga Mjini (Commercial 2)

33. Sumbawanga Vijijini (Commercial 1)

34. Nkasi (Commercial 1)

35. Mpanda (Commercial 1)

37. Tanganyika (Commercial 1)

38. Arusha Mjini (Commercial 2, non commercial 1)

39. Karatu (Commercial 1)

40. Babati (Commercial 1)

41. Simanjiro (Commercial 1)

42. Kiteto (Commercial 1)

43. Songea Mjini (Commercial 1)

44. Nyasa (Commercial 1)

45. Tunduru (Commercial 1)

46. Njombe Mjini (Commercial 2)

47. Ludewa (Commercial 1)

48. Ludewa (Commercial 1)

49. Wanging’ombe (Commercial 1)

50. Musoma Mjini (Commercial 2)

51. Mugumu (Commercial 1)

52. Butiama (Commercial 1)

53. Rorya (Commercial 2)

54. Tarime (Commercial 1)

55. Iringa Mjini (Commercial 2)

56. Mafinga (Commercial 1, non commercial 1)

57. Mufindi (Commercial 1)

58. Tabora Mjini (Commercial 2, non commercial 2)

59. Urambo (Commercial 1)

60. Kaliua (Commercial 1)

61. sikonge (Commercial 1)

62. Nzega (Commercial 1, non commercial 1)

63. Uyui (commercial 1)

64.Bukoba Mjini (Commercial 2, non commercial 1)

65. Misenyi (Commercial 1)

66. Karagwe (Commercial 1)

67. Muleba (Commercial 1)

68. Lindi (Commercial 1)

69. Kilwa (Commercial 1)

70. Ruangwa (Commercial 1)

71. Kahama (Commercial 1)
 
Hivi wafadhili wa community radio wanapatikana wapi aisee?

Ukitulia google unaweza kupata mkuu. Zaidi ya hapo unaweza kuomba mradi wowote lakini ukaombea kuanzisha kituo cha mawasiliano mkuu.
 
pote vjijin tu mwanza wala dsm siion huko kigoma ukianzsha radio minara itaishia kunyewa na bundi
 
Mkuu samahan kidogo ningependa kujua ni vigezo vipi tcra hapo wametumia katika kutangaza hayo masafa mapya make sehemu nyingine naona commercial nanani commercial nyingi ila sehemu nyingine chache.Ebu nitoe gizani hapo au unamaanisha sehem zilizopewa masafa mache zimeshajaa?

TCRA hutangaza mara kwa mara, awamu hii wametangaza katika maeneo haya awamu nyingine maeneo mengine. Huwa wanaangalia sehemu kubwa yenye uhitaji wa huduma pamoja na mahitaji ya wateja. Maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na TCRA moja kwa moja.
 
TCRA hutangaza mara kwa mara, awamu hii wametangaza katika maeneo haya awamu nyingine maeneo mengine. Huwa wanaangalia sehemu kubwa yenye uhitaji wa huduma pamoja na mahitaji ya wateja. Maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na TCRA moja kwa moja.
Asante mkuu,inamanisha kwamba sehemu zenye uhitaji mdogo wahiyo Huduma ndizo zimepewa masafa machache
 
Mkuu nidodosee tu itanigharimu kama kiasi gani kuanzisha.
 
Unataka kuanzisha radio? Haya sasa TCRA wametangaza masafa tayari katika maeneo mbalimbali kama.ifuatavyo:-

1. Morogoro (Radio za biashara 2, zisizo za biashara 1)

2. Kyela (Radio 2 za kibiashara)

3. Busokelo ( Za biashara 2 zisizo biashara 1)

4. Mbeya mjini (2 za biashara)

5. Rungwe (Mbili za biashara, moja isiyo ya biashara)

6. Kigoma mjini (radio mbili za biashara)

7. Kasulu (mbili za biashara)

8. Buhingwe (mbili za biashara)

9. Uvinza (mbili za biashara)

10. Geita mjini (2 za biashara)

11. Chato (1 ya biashara)

12. Shinyanga mjini (1 ya biashara)

13. Kahama (1 ya biashara)

14. Bariadi (moja ya biashara)

15. Mtwara mjini (2 ya biashara)

16. Masasi ( 2ya biashara)

17. Nachingwea (1 ya biashara)

18. Dodoma mjini (2 za Biashara)

19. Kondoa (1 ya biashara)

20. Mpwapwa (1 ya biashara)

21. Singida mjini (1 ya biashara)

22. Iramba (1 ya biashara)

23. Manyoni (1 ya biashara)

24. Moshi mjini (1 ya biashara)

25. Sumbawanga (2 za biashara)

26. Nkasi (1 ya biashara)

27. Mpanda (1 ya biashara)

28. Arusha mjini (1 ya biashara)

29. Babati (1 ya biashara)

30. Songea (mbili za biashara)

31. Mbinga (1 ya biashara, 1 isiyo ya biashara)

32. Nyasa (2 za biashara, 1 isiyo ya biashara)

33. Tunduru (1 ya biashara, 1 isiyo ya biashara).

34. Lindi mjini (1 ya biashara)

35. Kilwa (1 ya biashara)

36. Nachingwea (1 ya biashara)

37. Ruangwa (1 ya biashara)

38. Njombe mjini (1 ya biashara)

39. Ludewa (1 ya biashara,1 isiyo ya biashara)

40. Makete (1 ya biashara)

41. Msoma (1 ya biashara)

42. Mugumu (2 za biashara)

43. Rorya (1 ya biashara)

44. Tarime (1 ya biashara)

45. Iringa mjini (2 za biashara)

46. Tabora mjini ( 1 ya biashara, moja isiyo ya biashara)

47. Urambo (1 ya biashara)

48.Kaliua (1 ya biashara)

49. Sikonge (1ya biashara)

50. Uyui (1 ya biashara)

51. Mwanza mjini (1 ya biashara)

52. Magu (1ya biashara)

53. Sengerema (1 ya biashara)

54. Bukoba mjini (1 ya biashara)

55. Misenyi (1ya biashara)

56. Karagwe (1 ya biashara)

57. Muleba (1 ya biashara)

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 29th April 2016.

Kampuni yetu ya Radio Consult LTD itakusaidia kuandaa documents hizi kwa gharama nafuu.

Mawasiliano:-

Mob: 0625 712 315
Email: consultancy@radiotz.com

Share na wenzako kadri uwezavyo.
Asante.
Kaka habari
 
Back
Top Bottom