Kwanini mkubwa?kweli mkubwa hiko ni kipimo sahihi....big up ila mm siwezi fanya hiyo kitu
Wana JF, kusisitizia hoja alietoa Ndugu Mutabuzi yesterday kuhusu ndoa na mahusiano ya sasa, Naomba kila mmoja mwenye ndoa and partner humu ajaribu zoezi la kubadilishana simu (Mobile Phones) na mpenzi wake kwa siku ya leo tu muone vichefuchefu. halafu tuweke matokeo humu jamvini. Naamini 90% or more will be shocked!
Wana JF, kusisitizia hoja alietoa Ndugu Mutabuzi yesterday kuhusu ndoa na mahusiano ya sasa, Naomba kila mmoja mwenye ndoa and partner humu ajaribu zoezi la kubadilishana simu (Mobile Phones) na mpenzi wake kwa siku ya leo tu muone vichefuchefu. halafu tuweke matokeo humu jamvini. Naamini 90% or more will be shocked!
kuna watu wanatumia namba ambazo wake/waume zao simu zake hawajawahi ziona
Wana JF, kusisitizia hoja alietoa Ndugu Mutabuzi yesterday kuhusu ndoa na mahusiano ya sasa, Naomba kila mmoja mwenye ndoa and partner humu ajaribu zoezi la kubadilishana simu (Mobile Phones) na mpenzi wake kwa siku ya leo tu muone vichefuchefu. halafu tuweke matokeo humu jamvini. Naamini 90% or more will be shocked!
Simu tu hata password za email zangu akitaka nampa pia...
JF & FB na hata gmail i'm clean buddy...i don't need to worryna password yako ya jf na fb?