Je, unataka kujua siri za mkeo?

Je, unataka kujua siri za mkeo?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Mbele ya macho yako mkeo ni mtakatifu sana, hana kasoro wala dosari hata moja. Ni msafi, ana heshima, ana wajibika vyema, ni mbunifu na mburudishaji wako mzuri kitandani.

Ratiba zake zote unazijua, na simu yake haina password. Lakini wahenga walishasema, moyo wa mtu ni msitu mnene, amini usiamini, kikulacho ki nguoni mwako.

Je, wataka kujua siri za mkeo?

Mwite mke wa jirani yako MALAYA. Utapewa siri zote za mkeo
 
Sitaki kuzijua, nikishazijua then what?

Mimi mwenyewe nina siri zangu ambazo sitaki azijue.

Let us give spaces, let us ventilate..

Ndoa/Mahusiano siyo gereza, mkikamiana sana hamtafika mbali, tujifunze kwa mababu zetu, walikuwa hawana mambo ya kiwaki kama nowdays.
 
Waligombana majirani wawili wanaume juu ya nafasi ya kupaki gari appartments zimejengwa kwa kubanana, wakapelekana mpaka kwa mjumbe. Mjumbe akaita kikao cha wakazi wa zile appartments, na wake zao wakahudhuria, ugomvi ukawa bado mkubwa ikafikia hali wale wake zao kuingilia kati. Mwishowe ugomvi ulibadilika ukahamia kwenye mambo ya mkeo mwenyewe mala.ya anatoka na sombody xxx.. na mwanamke mwingine nae kaanza unatoka na yyy.

Ushauri: ugomvi wa wanaume ukichanganywa na wake zao unakuaga si wakaiwaida, hapo utajua siri zote hata mtoto unaedhani ni wako kumbe si wako utapata taarifa kamili. haha.
 
walugombana majirani wawili wanaume juu ya nafasi ya kupaki gari ..appartments zimejengwa kwa kubanana, wakapelekana mpaka kwa mjumbe..mjumbe akaita kikao cha wakazi wa zile appartments, na wake zao wakahudhuria, ugomvi ukawa bado mkubwa ikafikia hali wale wake zao kuingilia kati ...mwishowe ugomvi ulibadilika ukahamia kwenye mambo ya mkeo mwenyewe mala.ya anatoka na sombody xxx.. na mwanamke mwingine nae kaanza unatoka na yyy.
Ushauri: ugomvi wa wanaume ukichanganywa na wake zao unakuaga si wakaiwaida..hapo utajua siri zote hata mtoto unaedhani ni wako kumbe si wako utapata taarifa kamili. haha.
Vipimo vya DNA Sio viropokaji kama mke wa jirani yako 😂
 
Mbele ya macho yako mkeo ni mtakatifu sana, hana kasoro wala dosari hata moja. Ni msafi, ana heshima, ana wajibika vyema, ni mbunifu na mburudishaji wako mzuri kitandani.

Ratiba zake zote unazijua, na simu yake haina password. Lakini wahenga walishasema, moyo wa mtu ni msitu mnene, amini usiamini, kikulacho ki nguoni mwako.

Je wataka kujua siri za mkeo?
......
..
..
....

Mwite mke wa jirani yako MALAYA. Utapewa siri zote za mkeo
Hahaaaa..unatafuta vita.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ninao uwezo wakudukua mawasiliano yote ya mke wangu lakini staki kuumiza moyo wangu,nampenda sana mke wangu, Kama anamakando kando yake Mimi hayanihusu, yanini ni- kompliketi Maisha wakati Maisha yenyewe mafupi tu Ni Kama umande wa asubuhi.

Jipe Raha acha kutafuta matatizo , acha matatizo yakutafute,Sasa nikijua what next? Hakuna mkamilifu kikubwa tu atunze heshima yako! Tatizo la wanaume wengi wanapenda kujiona wanamamlaka makubwa juu ya wenza wao kuwaliko wanawake, ndo maana mnaua just because ya katundu ambako hakana maana!!
 
Ninao uwezo wakudukua mawasiliano yote ya mke wangu lakini staki kuumiza moyo wangu,nampenda sana mke wangu, Kama anamakando kando yake Mimi hayanihusu, yanini ni- kompliketi Maisha wakati Maisha yenyewe mafupi tu Ni Kama umande wa asubuhi.

Jipe Raha acha kutafuta matatizo , acha matatizo yakutafute,Sasa nikijua what next? Hakuna mkamilifu kikubwa tu atunze heshima yako! Tatizo la wanaume wengi wanapenda kujiona wanamamlaka makubwa juu ya wenza wao kuwaliko wanawake, ndo maana mnaua just because ya katundu ambako hakana maana!!
Mambo digba sowey?
 
Yaani ugombane na jirani asohusika kisa uduwanzi kama huo!! Hivi akili zenu kadri siku zinavyozidi kusogea zinakwenda wapi!!!🙆🙆🙆🙆
 
Back
Top Bottom