Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane hapa


asante sana mtaalam
 
Asante sana sana na ubarikiwe na kuzidishiwa zaidi kwani ni ngumu kwa watu kujitoa namna hii kwa kupoteza muda wa kusaidia wengine pasipo malipo. Asante sana.
 
kilimomaarifa.tajiri kwanza nikushukuru kwa kuendelea kutuelimisha, nimelima butternut kidogo na zucchini lakini sina a,b,c zake. Naomba kujua kama natakiwa kupiga dawa zinapotoa maua, na ni mbolea gani napaswa kuweka? Mpaka sasa kwa sababu bado mimea ni midogo na niliotesha direct siyo kitaluni nimeweka DAP. Pia kuna jani linanisumbua sana sana (siyo shambani) naomba kujua dawa ya kutumia ili iweze kuua mpaka mizizi yake. Asante
 
Last edited by a moderator:
ASante sana kilimomaarifa.tajiri nitazingatia. Hapo kwenye dawa yenye hicho kiambata unaweza kunitajia yoyote? Niliwahi kupiga round up!(sijui nimepatia sp!) jani likakauka lkn baada ya muda likachipua upya! Asante
 
Last edited by a moderator:
NINA IMANI

check huo mfuko wa NPK, UTAKUTA UNAMAKUNDI MATATU YA NAMBA MFANO: 17:17:17, (IKIMAANISHA NITROGEN-N-17, PHOSPHORUS-P-17,POTASSIUM-K-17) INAYOFAA KUKUZIA NYANYA NI ILE AMBAYO NAMBA YA KWANZA NI KUBWA KULIKO ZILE MBILI ZILIZOBAKI MFANO UKUTE NI NPK YENYE HIZI NAMBA 20:10:10, UKIKOSA HIYO BASI CHUKUA HATA NPK YA 17:17:17:

KILA LAKHERI


Naomba kuuliza npk yenye namba gani inafaa kukuzia nyanya
 
Asante sana Kilimo maarifa.tajiri
 
Last edited by a moderator:
I can declare, this is one or few of the best thread i ever come across since i join Jamiiforum, 1000000 likes kudos!, thumb up...
 
Naomba kuuliza je mbegu ya nyanya aina eden f1 na assila f1 ni ipi inazaa sana. Asante.
 
kilimomaarifa.tajiri nini sababu ya nyanya kusinyaa majani pia majani yanakuwa njano na vidoti vyeusi! Baadhi ya matunda ya nyanya nayo yanaoza kny kitako nifanyeje?
 
Last edited by a moderator:
kilimomaarifa.tajiri nini sababu ya nyanya kusinyaa majani pia majani yanakuwa njano na vidoti vyeusi! Baadhi ya matunda ya nyanya nayo yanaoza kny kitako nifanyeje?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Invisible heshima mbele, nakusihi uuweke huu uzi sticky ili tunapotaka kuurejea iwe rahisi tafadhali. Asante
 
Last edited by a moderator:
Naomba kuuliza je miche ya nyanya ikichelewa kuhamishiwa shambani,ikipandikizwa wiki ya tano badala ya wiki ya tatu kuna madhara kiuzaaji?
 
Asante kwa majibu mazuri,nilisafiri niliacha miche ikiwa na wiki 3 kitaluni nategemea kurudi ikiwa na wiki 5 au 6. Wasiwasi wangu ni kwamba je itazaa vizuri kama mmea mmoja unatoa kilo 3 nami nimechelewesha kupandikiza ,na ukatoa machipukizi mapya licha ya gharama za kuhudumia na kuchelewa uzaaji , je utatoa kilo zile zile au mapato yatakuwa sawa na ambavyo ningepanda kwa wakati? Asante.
 
Dah! Somo zuri sana.Tupia somo la TIKITI Mkuu.
 
Aisee na wewe MjasiriamaliElimu umenichosha kabisa! Ulikuwa huna sababu ya kukoti uzi wooote.. 👊
 
Last edited by a moderator:
kilimomaarifa.tajiri barikiwa mpaka ushangae, leo nimehamisha miche ya nyanya kutoka kitaluni, nasubiri siku ya kumi na tano niweke mbolea ya kukuzia kulingana na maelekezo yako. Hivi buster pia inaweza kuwekwa mapema na baadae ikawekwa tena?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…