Je Unataka kuwa Muisrael na kuhamia Israel?

Je Unataka kuwa Muisrael na kuhamia Israel?

Ili kuwa Muisrael njia kuu na ya Uhakika zaidi kwanza ni wewe kuwa Myahudi.

Kuna njia kuu mbili za kuwa Myahudi
1) Kutokana na uzao, yaani Mama yako awe myahudi. Haijalishi wewe ni atheist, au mtu wa dini, lakini ukiweza kuprove kuwa umezaliwa na mama ambaye ni Myahudi basi na wewe unachukuliwa kuwa ni Myahudi!

2) Njia ya pili ni kupitia kubadiri dini yako na kuchukua dini ya kiyahudi, Katika kubadiri dini ili utambulike katika jamii ya wayahudi kuwa kweli umebadiri dini ni lazima kwanza upitie mafunzo ya miezi tisa katika jumuia za kiyahudi zinazotoa mafunzo hayo nje ya israel.

Baada ya kuwa umekuwa Myahudi, Unapata haki za kurudi Israel kwa mujibu wa sheria ya " Kurudi", yenye lengo la kuwaleta/kuwarudisha wayahudi popote pale walipo duniani ili wakaishi Israel!

Kazi kwenu muipendao Israel sana, mnayo nafasi ya kuwa Wayahudi, Mnayo nafasi ya kuwa Waisrael ili mbarikiwe kama msemavyo!.

Badala ya kuwabariki Waisrael tu ili mbarikiwe, ni vyema mkawa Waisrael ili mbarikiwe zaidi!
Nikiwa mlokole hii haitoshi kama hapa kwetu tuna waaisrael wengi sana
 
Ili kuwa Muisrael njia kuu na ya Uhakika zaidi kwanza ni wewe kuwa Myahudi.

Kuna njia kuu mbili za kuwa Myahudi
1) Kutokana na uzao, yaani Mama yako awe myahudi. Haijalishi wewe ni atheist, au mtu wa dini, lakini ukiweza kuprove kuwa umezaliwa na mama ambaye ni Myahudi basi na wewe unachukuliwa kuwa ni Myahudi!

2) Njia ya pili ni kupitia kubadiri dini yako na kuchukua dini ya kiyahudi, Katika kubadiri dini ili utambulike katika jamii ya wayahudi kuwa kweli umebadiri dini ni lazima kwanza upitie mafunzo ya miezi tisa katika jumuia za kiyahudi zinazotoa mafunzo hayo nje ya israel.

Baada ya kuwa umekuwa Myahudi, Unapata haki za kurudi Israel kwa mujibu wa sheria ya " Kurudi", yenye lengo la kuwaleta/kuwarudisha wayahudi popote pale walipo duniani ili wakaishi Israel!

Kazi kwenu muipendao Israel sana, mnayo nafasi ya kuwa Wayahudi, Mnayo nafasi ya kuwa Waisrael ili mbarikiwe kama msemavyo!.

Badala ya kuwabariki Waisrael tu ili mbarikiwe, ni vyema mkawa Waisrael ili mbarikiwe zaidi!
Niliwahi kufikiria hili Jews kama taifa (watu) na Judaism kama dini imekuwa kama kitu kimoja, ndomana sio ajabu from nowhere utasikia na fulani kumbe myahudi!! Yani imekuwa kama imani ambayo mtu unweza kubadili na kupokelewa. Mbaya zaidi Zionism (imani chafu duniani) inahesabika kama Uisrael pia.

Lakini ndugu si rahisi kama unavyosema, Wayahudi ni wabaguzi haswa na cha kwanza wanalengwa watu weupe (caucasians) kisha wanafuata Khazarians/Ashkenazi hawa wengine wanaonekana kama mamluki tu ndomana hata Waethiopia ambao hujiita Waisrael bado hubaguliwa ndani ya nchi yao.

Ajabu ni kwamba kwanini watu wachanganye hawa na wale waliondikwa kwenye vitabu vitakatifu? Kwamba kama Mwanamarudi aliwahi kuishi Ushirombo basi hata generation yake ya 5 inaweza kwenda ushirombo na kufukuza aliowakuta na kudai ardhi!!
 
Back
Top Bottom