Je, unataka upendwe na mwanamke? Mpe hela

Je, unataka upendwe na mwanamke? Mpe hela

Habari zenu wakuu,

Leo nina maswali kwenu,

Mambo yafuatayo ukiyafanya mwanamke atakupenda:

1-MPE HELA
2-MPE HELA
3-WE MPE HELA
4-NAKWAMBIA MPE HELA
5-WE MPE HELA TUUUU.

Je, wanawake mnapenda hela kiasi hicho? Na je, wanaume tukiwa hatuna hela tutapendwa kweli?

KARIBUNI WAKUU

Mwanamke ni kumpa hela tu, hata awe mzuri vipi atakupenda, we si unamuona machache alivyompa hela "nikipata wangu" mpaka katulia, mtoto mrembo tuliii kwa bado anakula kwa mrija tu.
 
Wewe ajuza mdini tutaenda sawa tu hadi mwisho wa hii thread. Kubebwa ndo bye bye. Mtasubiri karne nzima kuanzia mwaka huu. Magufuli ataanza na wale wa NSSF.

#HapaKaziTu

Usikose kufika uwanja wa Taifa kesho kama upo Dar. Kujionea Pombe aliyesimamisha mafuriko kwa dole, akiapishwa.
 
#HapaKaziTu

Usikose kufika uwanja wa Taifa kesho kama upo Dar. Kujionea Pombe aliyesimamisha mafuriko kwa dole, akiapishwa.

Kwenda uwanjani wanaendaga wasio na kazi kama ww. Ukawa kesho makazini kama kawa kusaka pesa
 
Kuanzia leo kubebwa ndo basi tena. Huyo mkwere anaependa madaraka ikiwezekana arudi bagamoyo leo hii hii tushamchoka.

#MtasubiriSanaKumpataKamaMkwere

Umesahau kuhusu "chaguo la Mungu"?

Kama bado hujajaaliwa kuwepo Dar, matangazo "live" ya kumuapisha Rais wa awamu ya tano aliyesimamisha mafuriko kwa dole yataoneshwa kwenye TV zote za Tanzania na nyingi za Kimataifa.

Salamu zikufikie popote ulipo na msalimie teja tulilolibwaga.
 
Umesahau kuhusu "chaguo la Mungu"?

Kama bado hujajaaliwa kuwepo Dar, matangazo "live" ya kumuapisha Rais wa awamu ya tano aliyesimamisha mafuriko kwa dole yataoneshwa kwenye TV zote za Tanzania na nyingi za Kimataifa.

Salamu zikufikie popote ulipo na msalimie teja tulilolibwaga.
Kawaulize waliomuita hivyo miaka hiyo kama wanaweza kumuita hivyo leo hii!!

Uwanjani sitaenda ila nitamsikiliza Magufuli, sitaki kumsikiliza Mkwere maana hana jipya. Kwa ninavyomjua Magufuli ni kwamba kuanzia leo atatupilia baharini mikoba yote ya kuwabeba waislamu atakayorithishwa na Mkwere. Kwa kifupi, kuanzia leo imekula kwenu.

Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
 
Toka CCM ilivyomteua Rais mkristo FaizaFoxy hana raha, anaona kabisa tz kuwa na rais muislam ni miongo mingi ijayo. Huyo muislamu mkwere amerudisha nchi nyuma kimaendeleo, hatuwapi tena waswahili hii nchi. Waislamu hamna wa kuwabeba tena, mtasubiri sana. Lakini umakamu wa rais mtapata. Magufuli anaenda kuwatoa wale waislamu wote waliobebwa na mkwere.

unajua we ni kama mjinga hv, mkwere kawabeba waislam kwa maana hata hao wakina tibaikuka, chenge, askof gwajima na hao wa kanisa katoliki pamoja na mafisadi wote wa escrow, epa na richmond ni WAISLAM? naulza tena ni WAISLAM?,, Acha ujinga tafuta video ya gwajima youtube aliyoelezea fedha za escrow ndo utajua viongoz wa makanisa ni MAFISADI na ni WABADHILIFU ,
 
Last edited by a moderator:
unajua we ni kama mjinga hv, mkwere kawabeba waislam kwa maana hata hao wakina tibaikuka, chenge, askof gwajima na hao wa kanisa katoliki pamoja na mafisadi wote wa escrow, epa na richmond ni WAISLAM? naulza tena ni WAISLAM?,, Acha ujinga tafuta video ya gwajima youtube aliyoelezea fedha za escrow ndo utajua viongoz wa makanisa ni MAFISADI na ni WABADHILIFU ,
Wewe hujui unachozungumza, FaizaFoxy amenielewa ndo maana umeona amebadili mada.
 
Habari zenu wakuu,

Leo nina maswali kwenu,

Mambo yafuatayo ukiyafanya mwanamke atakupenda:

1-MPE HELA
2-MPE HELA
3-WE MPE HELA
4-NAKWAMBIA MPE HELA
5-WE MPE HELA TUUUU.

Je, wanawake mnapenda hela kiasi hicho? Na je, wanaume tukiwa hatuna hela tutapendwa kweli?

KARIBUNI WAKUU
Uongo
 
Back
Top Bottom