Habari zenu wakuu,
Leo nina maswali kwenu,
Mambo yafuatayo ukiyafanya mwanamke atakupenda:
1-MPE HELA
2-MPE HELA
3-WE MPE HELA
4-NAKWAMBIA MPE HELA
5-WE MPE HELA TUUUU.
Je, wanawake mnapenda hela kiasi hicho? Na je, wanaume tukiwa hatuna hela tutapendwa kweli?
KARIBUNI WAKUU
Mwenzangu weee, naona wazidi kuongezeka tu
Wewe ajuza mdini tutaenda sawa tu hadi mwisho wa hii thread. Kubebwa ndo bye bye. Mtasubiri karne nzima kuanzia mwaka huu. Magufuli ataanza na wale wa NSSF.
#HapaKaziTu
Usikose kufika uwanja wa Taifa kesho kama upo Dar. Kujionea Pombe aliyesimamisha mafuriko kwa dole, akiapishwa.
Kwenda uwanjani wanaendaga wasio na kazi kama ww. Ukawa kesho makazini kama kawa kusaka pesa
Kuanzia leo kubebwa ndo basi tena. Huyo mkwere anaependa madaraka ikiwezekana arudi bagamoyo leo hii hii tushamchoka.#HapaKaziTu
Usikose kufika uwanja wa Taifa kesho kama upo Dar. Kujionea Pombe aliyesimamisha mafuriko kwa dole, akiapishwa.
Kuanzia leo kubebwa ndo basi tena. Huyo mkwere anaependa madaraka ikiwezekana arudi bagamoyo leo hii hii tushamchoka.
#MtasubiriSanaKumpataKamaMkwere
Kawaulize waliomuita hivyo miaka hiyo kama wanaweza kumuita hivyo leo hii!!Umesahau kuhusu "chaguo la Mungu"?
Kama bado hujajaaliwa kuwepo Dar, matangazo "live" ya kumuapisha Rais wa awamu ya tano aliyesimamisha mafuriko kwa dole yataoneshwa kwenye TV zote za Tanzania na nyingi za Kimataifa.
Salamu zikufikie popote ulipo na msalimie teja tulilolibwaga.
Toka CCM ilivyomteua Rais mkristo FaizaFoxy hana raha, anaona kabisa tz kuwa na rais muislam ni miongo mingi ijayo. Huyo muislamu mkwere amerudisha nchi nyuma kimaendeleo, hatuwapi tena waswahili hii nchi. Waislamu hamna wa kuwabeba tena, mtasubiri sana. Lakini umakamu wa rais mtapata. Magufuli anaenda kuwatoa wale waislamu wote waliobebwa na mkwere.
Wewe hujui unachozungumza, FaizaFoxy amenielewa ndo maana umeona amebadili mada.unajua we ni kama mjinga hv, mkwere kawabeba waislam kwa maana hata hao wakina tibaikuka, chenge, askof gwajima na hao wa kanisa katoliki pamoja na mafisadi wote wa escrow, epa na richmond ni WAISLAM? naulza tena ni WAISLAM?,, Acha ujinga tafuta video ya gwajima youtube aliyoelezea fedha za escrow ndo utajua viongoz wa makanisa ni MAFISADI na ni WABADHILIFU ,
UongoHabari zenu wakuu,
Leo nina maswali kwenu,
Mambo yafuatayo ukiyafanya mwanamke atakupenda:
1-MPE HELA
2-MPE HELA
3-WE MPE HELA
4-NAKWAMBIA MPE HELA
5-WE MPE HELA TUUUU.
Je, wanawake mnapenda hela kiasi hicho? Na je, wanaume tukiwa hatuna hela tutapendwa kweli?
KARIBUNI WAKUU