Je, unatamani kudate na mwanamke/mwanaume kutoka nchi gani?

Je, unatamani kudate na mwanamke/mwanaume kutoka nchi gani?

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Mi nawazimikia sana wanawake kutoka South Afrika wana shepu flani hivi za kibantu, miguu imejaa jaa na Rangi Amaizing ya kung'aaa,
Na wish watakuwa wako vizuri sana kwa bed, watakuwa na papuchi flani hivi wakati wa uchakataji

Natamani sana siku moja nidate na mwanamke kutoka SA.

Je, wewe unatamani kudate na mwanamke/mwanaume kutoka nchi gani?
 
TANZANIA
1:Singida-Wanyaturu
2😀odoma-Warangi
3:Kagera-Wahaya
4:Tanga-Wadigo,Wabondei
5:Mwanza-Wasukuma
6:Mbeya -Waburushi,Wanyakyusa
7:Arusha-Wamasai,Wasonjo
8😛emba-Wakojani
9:Manyara-Wamang'ati
"""""""""""""""""""""""""""""""""
Makabila mengine mnisamehe
 
Hivi hao waburushi mbeya walifikaje?
TANZANIA
1:Singida-Wanyaturu
2😀odoma-Warangi
3:Kagera-Wahaya
4:Tanga-Wadigo,Wabondei
5:Mwanza-Wasukuma
6:Mbeya -Waburushi,Wanyakyusa
7:Arusha-Wamasai,Wasonjo
8😛emba-Wakojani
9:Manyara-Wamang'ati
"""""""""""""""""""""""""""""""""
Makabila mengine mnisamehe
 
WA
Mi nawazimikia sana wanawake kutoka South Afrika wana shepu flani hivi za kibantu, miguu imejaa jaa na Rangi Amaizing ya kung'aaa,
Na wish watakuwa wako vizuri sana kwa bed,watakuwa na papuchi flani hivi wakati wa uchakataji

Natamani sana siku moja nidate na mwanamke kutoka SA.

Je wewe unatamani kudate na mwanamke/mwanaume kutoka nchi gani?
SOUTH NI KAMA WAKENYE WANAROHO MBAYA KAMA MASHETANI ACHANA NAO KUKUCHINJA KWAO SIYO ISSUE
 
Back
Top Bottom