Je, unatamani siku zirudi nyuma au ziende mbele au zigande hapohapo zilipo?

Je, unatamani siku zirudi nyuma au ziende mbele au zigande hapohapo zilipo?

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2008
Posts
725
Reaction score
1,282
Ukizingatia hali yako ya sasa kama ungekuwa na uwezo je ungependa siku zirudi nyuma au ungetaka zisogee mbele chapu au zibaki hapohapo zilipo.

Mimi kwakweli zirudi nyuma tu kwakweli tena zirudi kwa chapu sana nirudi utotoni kabisa kule aisee mambo yameshabana sana saivi aisee.
 
Natamani siku zigande kidogo ili niendelee kula maisha kwanza...😋 plus 🍺🍻 na 🐖🐂
 
Ukizingatia hali yako ya sasa kama ungekuwa na uwezo je ungependa siku zirudi nyuma au ungetaka zisogee mbele chapu au zibaki hapohapo zilipo.

Mimi kwakweli zirudi nyuma tu kwakweli tena zirudi kwa chapu sana nirudi utotoni kabisa kule aisee mambo yameshabana sana saivi aisee.

Umewaza nini bro
 
Ziendee mbele japo kunaweza kuwa kunahudhunisha au kufurahisha
 
Weee siku bora zirudi nyuma tuuu 😂😂 maana mambo ni fire nyie...

All in all kapime afya yako uijue
Upo vipi ni bure
 
Ukizingatia hali yako ya sasa kama ungekuwa na uwezo je ungependa siku zirudi nyuma au ungetaka zisogee mbele chapu au zibaki hapohapo zilipo.

Mimi kwakweli zirudi nyuma tu kwakweli tena zirudi kwa chapu sana nirudi utotoni kabisa kule aisee mambo yameshabana sana saivi aisee.
Ziende mbele,
Maana mazuri Yako mbele.
 
Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
 
Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
Kuwa na amani , "Nayaweza yote katika yeye anitiae nguvu".
 
Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
Kesi na Ugomvi ni wa kwao sijui sisi unatuhusu vipi.
 
Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
Mi nadhani kuna siri hatujui kuhusu Mungu. Maana mimi tangu nazaliwa ni kuomba tu, ila mpaka leo HOLAAAA😄😄
 
Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
nimecheka kwa sauti
 
Back
Top Bottom