mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
😲Hee uko seriaz mkuu ?Natamani lipigwe nuclear moja tu Tz tufutike.Siasa zipo kikuda kweli nchini...full kuumizana
Ukizingatia hali yako ya sasa kama ungekuwa na uwezo je ungependa siku zirudi nyuma au ungetaka zisogee mbele chapu au zibaki hapohapo zilipo.
Mimi kwakweli zirudi nyuma tu kwakweli tena zirudi kwa chapu sana nirudi utotoni kabisa kule aisee mambo yameshabana sana saivi aisee.
Ziende mbele,Ukizingatia hali yako ya sasa kama ungekuwa na uwezo je ungependa siku zirudi nyuma au ungetaka zisogee mbele chapu au zibaki hapohapo zilipo.
Mimi kwakweli zirudi nyuma tu kwakweli tena zirudi kwa chapu sana nirudi utotoni kabisa kule aisee mambo yameshabana sana saivi aisee.
Kuwa na amani , "Nayaweza yote katika yeye anitiae nguvu".Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
Kesi na Ugomvi ni wa kwao sijui sisi unatuhusu vipi.Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
Mi nadhani kuna siri hatujui kuhusu Mungu. Maana mimi tangu nazaliwa ni kuomba tu, ila mpaka leo HOLAAAA😄😄Ebu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo
🙄😲Hee uko seriaz mkuu ?
nimecheka kwa sautiEbu fikiria tu ujatuma maombi kwa mungu ya kuja dunia unajikuta upo dunia....alafu anakutishia kukua, kukuchoma moto,anakukataza kula kambale, anakupa umaskini alafu anakuaambia ukitaka ela njoo uniombe kwanza ukitaka kuomba anakuambia toa pesa kama sadaka huku akijua sina kazi, anakuambia shetan ndo chanzo umaskini wako sababu alimdanganya Adam sasa mim na adam wap na wapi, mara kamtoa mwanae ili wote twende wapi sijui ni full michanganyo daah yote Tisa kumi .......Mungu yupo