Engineermjanja
Member
- Oct 29, 2020
- 78
- 108
Be serious bro ujue kuna watu wengi wanashindwa kufka leo sababu awajui ni njia gani ya kusaveNipe mimi nikuhifadhie, ntakuwa nakurudishia na riba kama Bank.
1M ntakupa 90,000 kila mwezi.
Sema nayo ni njia ya kusave pesa ila inahitaji uhaminifu sanaNipe mimi nikuhifadhie, ntakuwa nakurudishia na riba kama Bank.
1M ntakupa 90,000 kila mwezi.
Mwizi akipita na sabufa atakuwa amekupiga mara mbiliKwenye kile kishomo cha sabufa nazidondosha ndani.. Kazi kwisha
Asee mimi ni mtu mwenye heshima zangu humu ndani tafadhali sana. Ninaongea nikiwa na akili timamu wala hamna comedy hapa.Be serious bro ujue kuna watu wengi wanashindwa kufka leo sababu awajui ni njia gani ya kusave
Naelewa mkuu nkajua labda leo umeamua kujokingAsee mimi ni mtu mwenye heshima zangu humu ndani tafadhali sana. Ninaongea nikiwa na akili timamu wala hamna comedy hapa.
Siku hizi biashara ya guest imekuwa ngumu sana mkuu kuna lodge kama mbili jamaa kaamua kufanya vyumba vya kupanga tyMi nimeona.njia nzuri ni kujenga nyumba za kupangisha na LODGE na GUEST BUBU sifugi hela kijinga,Nahakikisha hela zinazoingia ni nyingi kuliko zinazotoka,
Saving acc. Ni kwa benki hipi mzee na je kama mimi mshahara wangu kama haupitii benki hapo inakuajeFungua saving account na uweke makato ya juu kwa juu kila mwezi kama unapata 1m hakikisha 200,000 unaweka na kuisahau mpaka 5 years kama utakuwa na Afya njema na ajira inaendelea hii kama ni mfanyakazi
Ila kama ni mfanyabishara hakikisha unaweka kila wiki faida kidogo pembeni na hakuna kuigusa kabisa
Usiwekeze kwa mtu
Na ndiyo aim yangu nataka mpk mwakani nifanye jambo kwa saving nitakayo ifanya. Sema sasa ishu inakuja ni njia gn nitumie kusave bank au vikoba au wapkwanza kabisa jua matumizi yako kwa week then mwezi alafu kitakacho bakia save kabla haujatumia
eg unaingiza 500k
matumizi 350k
baki 150k
save 100k
io 50k fanya ya emergency
kwenye matumizi mf kodi, chakula, voucher, nauli na mengineyo coz tumetofautiana ila ukitaka mafanikio zaidi save ili ufungue biashara let say ikifika 1M tafuta biashara ya kufanya
Kwani mi nipo eneo moja na yeye mi lodge zangu zipo sehemu nzuri sana biashara inaendeleaSiku hizi biashara ya guest imekuwa ngumu sana mkuu kuna lodge kama mbili jamaa kaamua kufanya vyumba vya kupanga ty
Wacha we!!!Asee mimi ni mtu mwenye heshima zangu humu ndani tafadhali sana. Ninaongea nikiwa na akili timamu wala hamna comedy hapa.
Tumia hii.....Na ndiyo aim yangu nataka mpk mwakani nifanye jambo kwa saving nitakayo ifanya. Sema sasa ishu inakuja ni njia gn nitumie kusave bank au vikoba au wap
Super threadHabari wanandugu.
Nimependa kuwashilikisha jambo, najua nitaweza kupata mawazo mazuri kutoka kwenu na ushahuri pia. Ni njia gani nzuri ambayo unatumia kuweka akiba juu ya kipato chako. Najua kuna njia kama ya bank, kibubuu, kukopesha ,na vikoba ila nataka kujua ni njia gani ambayo nzuri ili niweza kuweka akiba juu ya kipato changu ili nipate kufikia lengo katika mwaka huu 2021.
#ukateumaskini