Engineermjanja
Member
- Oct 29, 2020
- 78
- 108
Habari wanandugu,
Nimependa kuwashilikisha jambo, najua nitaweza kupata mawazo mazuri kutoka kwenu na ushahuri pia. Ni njia gani nzuri ambayo unatumia kuweka akiba juu ya kipato chako.
Najua kuna njia kama ya bank, kibubuu, kukopesha ,na vikoba ila nataka kujua ni njia gani ambayo nzuri ili niweza kuweka akiba juu ya kipato changu ili nipate kufikia lengo katika mwaka huu 2021.
#ukateumaskini
Nimependa kuwashilikisha jambo, najua nitaweza kupata mawazo mazuri kutoka kwenu na ushahuri pia. Ni njia gani nzuri ambayo unatumia kuweka akiba juu ya kipato chako.
Najua kuna njia kama ya bank, kibubuu, kukopesha ,na vikoba ila nataka kujua ni njia gani ambayo nzuri ili niweza kuweka akiba juu ya kipato changu ili nipate kufikia lengo katika mwaka huu 2021.
#ukateumaskini