Kuna mdau amenipigia usiku huu ili nimpatie maoni yangu. Kwa bahati mbaya, achilia mbali kutojua masuala ya Elimu ya Msingi kwa kina, hata mtaala huo mpya sijausikia.
Ikiwa kama unajua muundo na maudhui makuu ya mtaala huo mpya wa Elimu ya Msingi, naomba utujulishe.
Ikiwa kama unajua muundo na maudhui makuu ya mtaala huo mpya wa Elimu ya Msingi, naomba utujulishe.