Je, unaujua mtihani wa Mwisho wa Uvumilivu? Ni huu hapa...

Je, unaujua mtihani wa Mwisho wa Uvumilivu? Ni huu hapa...

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Kumfumania Mke/ Mme wako live alivunja amri ya 6 na ukaamua ku cool inaaminika ni ushindi kwenye mtihani wa mwisho wa uvumilivu.

Ukiweza kuushinda huu mtihani basi hakuna uvumilivu utakushinda tena hapa Duniani.

Kwenye fumanizi ile moment huwa inaambatana na mambo mengi sana, kiwango cha juu kabisa cha hasira kinacho pelekea either kuua pale pale, Kujeruhi, some time kujiua, kuleta uharibifu wa mali na kadhalika.

Kuna wengi wako Magerezani kwa sababu tu walifumania na wakachukua hatua mbaya sana hasa kuua pale pale.

Kuna waliotangulia mbele za haki kwa sababu baada ya famanizi waliona hakuna haja ya kuendelea kuishi na wakaamua kujitoa uhai.

Kile kitendo inaaminika ni mtihani mgumu sana ambao ukiweza kuushinda basi umeshinda mitihani yote na ni wachache sana wanao shinda ule mtihani wengi wanahsindwa na kuishia kuchukua maamuzi magumu sana na ya hasira.
 
Mbaya zaidi ufumanie limwanamke ambalo lishakuchoka. Maana akiwa anakupenda bado ile remorse inakupa moyo kidogo lakini mwingine unakuta anakazwa halafu anakuuliza kwani nimetumia K yako.
Mbaya zaidi njemba inayomkaza ukute kuna kitu imekuzidi, aidha umbo, maungo ama uwezo wa kiuchumi.
Mwanamke anakwambia peleka kibamia chako huko halafu njemba iliyokuwa inakula mzigo ina mguu wa mtoto na wewe ukitafakari una kibamia kweli. Hapo lazima ujinyonga na ukitoka salama basi wewe ni mvumilivu hasa.
 
Jesus said to his disciples: ‘I say this to you who are listening: Love your enemies, do good to those who hate you, bless those who curse you, pray for those who treat you badly. To the man who slaps you on one cheek, present the other cheek too; to the man who takes your cloak from you, do not refuse your tunic. Give to everyone who asks you, and do not ask for your property back from the man who robs you. Treat others as you would like them to treat you. If you love those who love you, what thanks can you expect? Even sinners love those who love them. And if you do good to those who do good to you, what thanks can you expect? For even sinners do that much. And if you lend to those from whom you hope to receive, what thanks can you expect? Even sinners lend to sinners to get back the same amount. Instead, love your enemies and do good, and lend without any hope of return. You will have a great reward, and you will be sons of the Most High, for he himself is kind to the ungrateful and the wicked.


‘Be compassionate as your Father is compassionate. Do not judge, and you will not be judged yourselves; do not condemn, and you will not be condemned yourselves; grant pardon, and you will be pardoned. Give, and there will be gifts for you: a full measure, pressed down, shaken together, and running over, will be poured into your lap; because the amount you measure out is the amount you will be given back.’
 
Kumfumania Mke/ Mme wako live alivunja amri ya 6 na ukaamua ku cool inaaminika ni ushindi kwenye mtihani wa mwisho wa uvumilivu.

Ukiweza kuushinda huu mtihani basi hakuna uvumilivu utakushinda tena hapa Duniani.

Kwenye fumanizi ile moment huwa inaambatana na mambo mengi sana, kiwango cha juu kabisa cha hasira kinacho pelekea either kuua pale pale, Kujeruhi, some time kujiua, kuleta uharibifu wa mali na kadhalika.

Kuna wengi wako Magerezani kwa sababu tu walifumania na wakachukua hatua mbaya sana hasa kuua pale pale.

Kuna waliotangulia mbele za haki kwa sababu baada ya famanizi waliona hakuna haja ya kuendelea kuishi na wakaamua kujitoa uhai.

Kile kitendo inaaminika ni mtihani mgumu sana ambao ukiweza kuushinda basi umeshinda mitihani yote na ni wachache sana wanao shinda ule mtihani wengi wanahsindwa na kuishia kuchukua maamuzi magumu sana na ya hasira.
THREAD MBONA KAMA ZINAFANANA?



Inaaminika kwamba Kumfumania mpendwa wako na mwanamme/Mwanamke mwingine na ukamua kusamehe pale plae ndo huwa mtihani ambao ni wa mwisho wa kupima kiwango cha mwisho kabisa cha uvumilivu.

Kwenye Fumanizi pale kuna mambo mengi sana yanaambatana na fumanizi Kuna wanao amua Kuua wote alio wafumania, kuna wanao amua kuua mmoja wao, kujeruhi vibaya sana, kudhalilisha kama kutembeza watu uchi au kuwapiga picha na kusambaza, kuna wanao amua kujiua wao wenyewe baada ya kushuhudia kile kitendo.

Pia pale huwa kuna maamuzi mbalimbali ikiwemo kuharibu mali, watu huchoma hata nyumba kwa hasira na kuna ambao hupata stroke kabisa.

Sasa inaaminika wale wanao fumania wapendwa wao live na wakaamua kupotezeza pale pale na sio baadae basi wale huwa wameshinda na hakuna tena uvumilivu unao weza kuwashinda kwenye dunia hii.

Na kumbuka kupitia kufamania kuna watu wako Magerezani baada ya kuamua kuchukua maamuzi pale pale ya either kupiga kujeruhi, au kuua.

Hakuna tena uvumilivu unaweza kukushinda zaidi ya huu.
 
Back
Top Bottom