Je unauza gari????

Je unauza gari????

ManCity

Member
Joined
May 19, 2011
Posts
40
Reaction score
14
Wana JF

Napenda kuwataarifu nimefanikiwa kufungua SHOWROOM ya kuuza magari pale maeneo ya Magomeni, ipo barabarani kabisa...

Kwa yeyote anayeuza gari anaeza kuni-PM tukakubaliana terms za kupark kwenye showroom....Gari zinatakiwa kuwa katika hali nzuri ili kutengeneza reputation ya showroom, napokea pia new imported vehicles on sale..

Serious dealers are welcome..
 
Back
Top Bottom