Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgogo na CCM ni sawa na Samaki na maji hukupaswa kuacha hilosikujikita katika upande wa siasa mkuu
Baada ya matonya ni Le MutuzMgogo maarufu sana baada ya Malecela ni
MATONYA
Jina hilo maarufu limetoholewa kuwa neno rasmi la kiswahili kumaanisha Ombaomba lililokubuhu
Pia pamoja wengi wao ni wapenzi wa ccm ni maombaomba wa shahada ya uzamivu
Wanaume wa kigogo wana wivu Hatari wamapenzi yupo tayari kumnyatia mke wake kwa nyuma kuchunguza nyendo zake.....Umesahau ulimbukeni wa msosi,wagogo ni wachoyo sana kwenye chakula,ukioa mwanamke anaweza kuwa anaiba chakula nyumbani na kuwapa ndugu na marafiki zake wa kigogo.
Pia wanawake wa kigogo ni waroho,walafi,wachafu,wavivu,lakini kutoa vya viunoni pia si wazembe.
Baada ya matonya ni Le Mutuz
Gali ci mbula mahala aga yaya maduwo!mtoa mada umeamua kuja kwa style hii ili ujue wagogo wako wangapi jf?sikochimanya hamba siku monga nitya,yaya mwandiche!
Ha ha haaa na wewe hivyo hivyo, upewe banchitye mwandika mputi ai ili mchihong'anje che wagogo? fuzi genyu weka....hahaha nawalijenyi na modeleta sikosuma mpela ban...
Bila kusahau WA ukonga mazizini ni wachafu mno.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hasa wa vingungut pale machinjion