Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miongoni mwa posts za hovyo za mwaka 2021Kama mnawajua watajeni majina yao ,ndio mtawafahamu ni akina nanni na wanahusiana ni ndugu au watoto wa wakuu wakuu ,nyie andikeni majina yao hapa ,mtazidi kuzinduka.
Hii post ya jamaa ina Hoja ndani yake ila kashindwa tu namna ya kuifikisha..Miongoni mwa posts za hovyo za mwaka 2021
Sasa nawe hapa umeona kuwa umepandisha uzi?Kama mnawajua watajeni majina yao ,ndio mtawafahamu ni akina nanni na wanahusiana ni ndugu au watoto wa wakuu wakuu ,nyie andikeni majina yao hapa ,mtazidi kuzinduka.
Siyo vibaya ukamsaidia ili tuone yaliyomo kama yamo.Hii post ya jamaa ina Hoja ndani yake ila kashindwa tu namna ya kuifikisha..
Jamaa kakakurupuka baada ya kugonga msubaMiongoni mwa posts za hovyo za mwaka 2021
Atakuwa kaamka na hang over!!..Siyo vibaya ukamsaidia ili tuone yaliyomo kama yamo.
Hasa baada ya kushuhudia mnyukano wa subwoofer na mazaaaAtakuwa kaamka na hang over!!..
Kama mnawajua watajeni majina yao ,ndio mtawafahamu ni akina nanni na wanahusiana ni ndugu au watoto wa wakuu wakuu ,nyie andikeni majina yao hapa ,mtazidi kuzinduka.
Ndiyo maana yake mkuu watu wa michongoHii Post haijaeleweka lakini ilikuwa na mweleko mzuri sana, nia nadhani ilikuwa ni kutaka kujua majina ya wafanyakazi waliopo katika balozi zetu, jamaa anaamini kama majina yakitajwa hapa mengi yatakuwa yanarelate na ndugu, watoto wa vigogo waliopo serikalini, kwa maana hizi ajira zilipatikana kimchongo.
Mwendazake alijaza wasukuma wenzie!Watoto wa vigogo wapo huko
Nyie ndio watu mnaofaa kufundishwa na mapofesa ,wengine ni wale wa mwalimu na Chaki ubaoni.Hii Post haijaeleweka lakini ilikuwa na mweleko mzuri sana, nia nadhani ilikuwa ni kutaka kujua majina ya wafanyakazi waliopo katika balozi zetu, jamaa anaamini kama majina yakitajwa hapa mengi yatakuwa yanarelate na ndugu, watoto wa vigogo waliopo serikalini, kwa maana hizi ajira zilipatikana kimchongo.