luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Yah mkuu ni age mate wangu ila nahisi nimempita kama mwaka au miaka 2 siunajua zaman sisi tulikuwa tuna anza standar 1 na 6-9 yrsOther things kept constant, huyo ni agemate wako. Binafsi naonaga poa Mwanaume akiwa mkubwa ki umri kuliko Mwanamke
Una andika mashudu gani kama huwezi kutoa kitu kinachoeleweka si kheri ukapiga kimyaaaa ....muonee kwanza mdomo kama kolekoleeHkgd kudsb gavfs yatakukuta makubwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]maweeeeeeeUna andika mashudu gani kama huwezi kutoa kitu kinachoeleweka si kheri ukapiga kimyaaaa ....muonee kwanza mdomo kama kolekolee
Na age mate wako kama ni wakike kimsingi kwa umbile atakua mama hasaOther things kept constant, huyo ni agemate wako. Binafsi naonaga poa Mwanaume akiwa mkubwa ki umri kuliko Mwanamke
Kwani classmate wa shule ya msingi ana kasoro gani hata ushindwe kuwa na mahusiano naye?
Afu hiyo skuli iko Swax.Mtie mimba kama jina ilo jina la shule yenu
😂😂Afu hiyo skuli iko Swax.