Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Je, unaweza jenga ghorofa moja kuanzia msingi hadi juu kwa mawe?
Eti wakuu inawezekana kufanya hivyo?
Eti wakuu inawezekana kufanya hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majengo mapya mwanzaInawezekana. Mwanza kuna jamaa yangu mmoja kajenga ghorofa mbili juu
Nadhani ila ni ya kitambo kidogoMajengo mapya mwanza
Hivi kwa sehemu mawe yanapatikana hii si ni njia ya bei nafuu sana kujenga ghorofa maana haitumii nondo wala nini. Ukiweka msingi imara tu basi.Yes Wakoloni walijenga kwa Matumbawe na yamekaa zaidi ya miaka 100 hadi 500 mfano majengo ya kilwa mpaka leo yapo.
Au Bagamoyo. Halafu nasikia ile mortar waliyokuwa wanatumia ni matumbawe wamesaga na kuchanganya sijui na mfinyanzi. Inadumu balaa, hadi leo imeshikilia majengo. Nasikia hii saruji ya kawaida(Portland) inakaa miaka 50. Kama ingekuwa dawa maana yake inaexpire miaka 50.Yes Wakoloni walijenga kwa Matumbawe na yamekaa zaidi ya miaka 100 hadi 500 mfano majengo ya kilwa mpaka leo yapo.