Je, unaweza kuendelea na masomo ya Degree baada ya kuhitimu Diploma ya shule za msingi?

Je, unaweza kuendelea na masomo ya Degree baada ya kuhitimu Diploma ya shule za msingi?

Hejafar

Member
Joined
Jun 15, 2021
Posts
8
Reaction score
4
Naomba kuuliza eti ukihitimu Diploma ya Ualimu wa shule za msingi unaweza kuendelea na degree ya shule ya msingi au secondary, Bila kupita Form Six?
 
Icheki Guide book ya TCU utapata kila kitu mule

Ila kwa kifupi ni lazima uwe na Ufaulu wa kuanzia GPA ya 3.0 ila kuna baadhi ya vyuo wanahitaji kuanzia GPA ya 3.5 mfano UDSM
 
Back
Top Bottom