Je unaweza kuhisi una siku ngapi zimebakia za kuishi hapa duniani???

Je unaweza kuhisi una siku ngapi zimebakia za kuishi hapa duniani???

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Swali tata...wengi najua wataogopa kulijibu..lakini ukweli unabaki pale pale lazima wote tutaiacha dunia..

Je una siku ngapi zimebaki?? Na kwanini unahisi zimebaki siku idadi hiyo??

Je umejiandaaje.?

Je kabla hujaiaga dunia ungependa ukamilishe jambo gani.?

Je kabla hujaondoka ungependa ushuhudie jambo?/tukio gani??

Je utakaowaacha wengi watahuzunika au watafurahi?.
 
Jibu sahihi ni kuwa hakuna anaejua kuwa amebakiza siku ngapi hapa duniani.

Kifo kipo na kitakuja muda wowote ule bila wewe kujua. Kikubwa jiandae na kuwa tayari kwa safari muda wowote.

Mimi binafsi, i am at peace with myself, i don't fear death. Death is my ticket to the afterlife.

Enjoy life while you can.
 
Swali tata...wengi najua wataogopa kulijibu..lakini ukweli unabaki pale pale lazima wote tutaiacha dunia..

Je una siku ngapi zimebaki?? Na kwanini unahisi zimebaki siku idadi hiyo??

Je umejiandaaje.?

Je kabla hujaiaga dunia ungependa ukamilishe jambo gani.?

Je kabla hujaondoka ungependa ushuhudie jambo?/tukio gani??

Je utakaowaacha wengi watahuzunika au watafurahi?.
Kuiacha dunia kwa kufa? Kama ni kwa kufa siyo wote watakufa
 
Haya Mambo ya kuhisi sometimes sio mazuri.. kipindi nipo mtoto nilikuwa naona watoto wenzangu mara huyu kavunjika mguu mara huyu mkono!. Ikafika mahali nikaanza jiuliza mbona mimi sivunjiki??!! Maumivu ya kuvunjika yapoje..?? Haya yalikuwa maswali ya kawaida sana Sasa ikaja fikra ikiniambia hivi wewe utaishi mpk kufikia hatima yako bila kuvunjika mfupa hata mmoja!!! Nikawa naona kama haitawezekana!.. baada ya miaka kadhaa yakanipata namimi! Mfupa usikieni tu nyie bata..🤣
Nilipata ajali hiyo nikavunjika namimi ndo nikajua what is kuvunjikaling!!! Nikauamini na ule usemi wa "aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea!"
Nashukuru nilipona bila shida yoyote na niko fit kama zamani ila usiombe mi nilionjeshwa tu ila najua watu yanawakuta makubwa zaidi ya hayo mtu anavunjika mbavu nne! Mtu mguu unavunjika mara tatu au unasagika kabisa!..😥

Hivi vitu sikia kwa jirani tu.

Mkuu we ishi na ujitengenezee afya njema jiepushe na ajali vile uwezavyo ikishindikana basi! Mazingira ndo yataamua.
 
Jibu sahihi ni kuwa hakuna anaejua kuwa amebakiza siku ngapi hapa duniani.

Kifo kipo na kitakuja muda wowote ule bila wewe kujua. Kikubwa jiandae na kuwa tayari kwa safari muda wowote.

Mimi binafsi, i am at peace with myself, i don't fear death. Death is my ticket to the afterlife.

Enjoy life while you can.
Thanx utaacha deni gani nyuma
 
Haya Mambo ya kuhisi sometimes sio mazuri.. kipindi nipo mtoto nilikuwa naona watoto wenzangu mara huyu kavunjika mguu mara huyu mkono!. Ikafika mahali nikaanza jiuliza mbona mimi sivunjiki??!! Maumivu ya kuvunjika yapoje..?? Haya yalikuwa maswali ya kawaida sana Sasa ikaja fikra ikiniambia hivi wewe utaishi mpk kufikia hatima yako bila kuvunjika mfupa hata mmoja!!! Nikawa naona kama haitawezekana!.. baada ya miaka kadhaa yakanipata namimi! Mfupa usikieni tu nyie bata..🤣
Nilipata ajali hiyo nikavunjika namimi ndo nikajua what is kuvunjikaling!!! Nikauamini na ule usemi wa "aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea!"
Nashukuru nilipona bila shida yoyote na niko fit kama zamani ila usiombe mi nilionjeshwa tu ila najua watu yanawakuta makubwa zaidi ya hayo mtu anavunjika mbavu nne! Mtu mguu unavunjika mara tatu au unasagika kabisa!..😥

Hivi vitu sikia kwa jirani tu.

Mkuu we ishi na ujitengenezee afya njema jiepushe na ajali vile uwezavyo ikishindikana basi! Mazingira ndo yataamua.
Hahaha!! we bata bwana!!!
 
Je kabla hujaondoka ungependa ushuhudie jambo?/tukio gani??

Je utakaowaacha wengi watahuzunika au watafurahi?.

CCM na CHADEMA wakiungana kuiondoa madarakani TLP[emoji23]

Swali la mwisho linabakia kuwa fumbo. Unapohisi unapendwa sana jiangalie, huenda umezungukwa na wanafiki kwa maslahi yao.
 
Mimi nipo kaburini hapa nagonga nyagi na Masogange,Mzee Mengi na Magu. Lakini tunamsubiri Mzee Majuto na Sharo millionaire waje watupe comedy kidogo na Mangwea atowe burudani inawezekana ikawa live ITV au Cloud media.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Huo ni uoga uliopitiliza. Mpaka unafikiria utakufa lini?. Utakufaaje huo ni uoga. Ishi tu,ikifika iwe imekukuta tu
 
Mimi nipo kaburini hapa nagonga nyagi na Masogange,Mzee Mengi na Magu. Lakini tunamsubiri Mzee Majuto na Sharo millionaire waje watupe comedy kidogo na Mangwea atowe burudani inawezekana ikawa live ITV au Cloud media.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Duh
 
Swali tata...wengi najua wataogopa kulijibu..lakini ukweli unabaki pale pale lazima wote tutaiacha dunia..

Je una siku ngapi zimebaki?? Na kwanini unahisi zimebaki siku idadi hiyo??

Je umejiandaaje.?

Je kabla hujaiaga dunia ungependa ukamilishe jambo gani.?

Je kabla hujaondoka ungependa ushuhudie jambo?/tukio gani??

Je utakaowaacha wengi watahuzunika au watafurahi?.
Hivi hawa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulenya Tanzania wanafanya Kazi zao sawa sawa?
 
Back
Top Bottom