Je! Unaweza kuifananisha CCM na nini?

Na chama vingine vya enzi zile za ukombozi kama vile KANU na vingine vingi vya nchi nyinginezo ambapo vimebaki kusomwa kama historia tu Basi lakini havipo Tena kwa sababu ya kuchakaa sana watu wa mataifa kutaka maono mapya Kwani kuna falsafa kuwa “ Changes leads into improvements “
 
Yohana 11:49 Mtu mmoja miongoni mwao, Kayafa, aliyekuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, akawaambia, Ninyi hamjui neno lo lote; A
Yohana 11:50 wala hamfikiri ya kwamba yafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, wala lisiangamie taifa zima.
 
Bokoharam
 
Afadhali ya choo cha stesheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…