Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 452
Wakuu habarini I hope wote ni wazima wa afya.
Wakuu naomba kuuliza, hivi inawezekana mtu kuishi kwa kula matunda na mbogamboga as normal diet?
Nauliza hivi kwa sababu I have diagnosed kuwa damu yangu ni chafu, ina bacteria wengi sana, pia figo yangu ya kulia imevimba.
Hivyo nahitaji kuhuisha mwili wangu kupitia matunda na mbogamboga tu kama sehemu pekee ya chakula changu.
Age 23, situmii vileo vyovyote.
Karibuni wakuu.
Wakuu naomba kuuliza, hivi inawezekana mtu kuishi kwa kula matunda na mbogamboga as normal diet?
Nauliza hivi kwa sababu I have diagnosed kuwa damu yangu ni chafu, ina bacteria wengi sana, pia figo yangu ya kulia imevimba.
Hivyo nahitaji kuhuisha mwili wangu kupitia matunda na mbogamboga tu kama sehemu pekee ya chakula changu.
Age 23, situmii vileo vyovyote.
Karibuni wakuu.