Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Nina brother zangu walikuwa wamepinda kweli walikuwa wakwenda kwa wauza wanzuki wanasubiria mpaka demu amalize kuuza ndio wanamchukua.

Siku moja tukaenda akaopoa tukarudi skani nikaenda kuangalia kama mlango uko wazi na kama wengine wamelala nikakakuta shwali nikwastua wakazama ndani. Umeme ulikuwa umekatika Giza Giza tukaingia ghetto bro akaniambia nilale chini wakaweka godoro dogo chini nikawa nawasikilizia kumbe nao wananisikilizia kama nimelala baadae nikapitiwa na usingizi asubuhi wala sikujua yule Dada alitoka SAA ngapi nikaambulia lawama tu ati jamaa anasema alishindwa kufanya kwakuwa Mimi sikulala kabisa ati kila akitaka kufanya anakuta nawaangalia kitu ambacho haikikuwa kweli nilicheka sana. Yaani jamaa alinichukia sana bila ya Sababu aisee.
 
Kitambo sana nikiwa darasa la pili. Baba mdogo wangu hakuwa na ajira so akaja kuishi na sisi ili baba yangu amtafutie ajira maana alikuwa na connections pale town. Sasa baba mdogo kabla hata hajapata hiyo ajira akawa amempa ujauzito binti fulani pale town halafu huyo binti akafukuzwa kwao ikabidi aje kuishi na sisi home. Mimi nilikuwa nalala na baba mdogo halafu yule bintio alipewa chumba kingine. Basi yule binti akawa anatoroka chumbani kwake anakuja chumba chetu kupigwa mkuyenge eti wanafikiri mimi nimelala. Duuh walikuwa wanapiga show za hatari halafu yule binti full kutoa vilio vya mahaba ni shida aisee ila kwa umri sikuwa natilia maanani kinachoendelea. Baadae mama yangu akawashtukia so kiroho safi akamwambia baba mdogo ahame chumba akawe analala na msichana wake.
 
Kwa nyuzi kama hizi
ccm haitatoka madarakani kamwe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umetisha kwa hii coment yako mkuu ktk kila uzi..itakua ndio brand yako mkuu..hongera sana bonyeza nyote iwe yako na kupata wimbo huo bure..kakika yajayo yana....
 
Mimi bhana tupo chuo na mshkaji wangu aka room mate

Siku hiyo tukaenda kwao meru...nikaona watoto wakali ile mbaya nikamchek mshkaji nikamuuliza wala vipi unawajua akaniambia anawapata fresh basi nikamuambia anitafutie number........akaparangana number akazipata...nikaanza kurusha ndoano mara mtoto akaingia kingi...

Inshu ikawa kutoka kwako sasa...akaniambia kwao lazma watoke wawili ndio ruhusa wanapewa ikabidi jamaa nae aanze kurusha ndoano kwa dada ake sasa.....Mara paah jamaa akafanikiwa ikabakiza shughuli moja tu....kuwatoa arusha kuwaleta MOSHI...

Siku ya siku wakatustrukiza wanakuja alafu Mimi na mchizi tupo mabovu ile mbayaaa pesa ya gest hatuna...tukakubaliana tuwalete room tuangalie mazingira wasipozingua tule mizigo....tukawaleta kila mtu na kitanda chake basi kuhu na huku Mara kila mtu anakula mzigo wake....kale ndo kakawa kamchezo nakumbuka kuna kipindi hadi walikuja wakalala
 
Kitambo sana, kama miaka ya elfu mbili na mbili hiv, enzi hizo niko ni mdogo darasa la pili....

Siuna jua, kama unademu wako na mmeamua kuanza maisha mnaona mpange chumba kimoja .
Sasa ilikua hiv, kipindi hicho tumepanga arusha mm na mama yangu, enz hizo walizinguana na mshua.

Pembeni kulikua na mshikaji wameanza maisha na demu wake. Jamaa alikua mtu wa safar sana, kwenda porin kwa
sana...

Demu wake alikua muoga, bas akawa ananiomba nikalale kwake, nimpe kampan.

Siku moja jamaa akaja usiku, kama saa saba hiv! Nilikua nimell kitandani wakaniamishia kwenye kochi. Wakizani mm ni mtt, wakapiga shoo ya kufa mtu.. jamaa alipiga shoo mpaka saa kumi na moja.

Kwa kumchora demu, asubuhi nika muuliza mbona jana ulilia sana. Hakunijibu akacheka.

Baada ya wiki nikasikia wakisimuliana na bro wangu kwan walikua mrafiki
 
Kuna kipindi nilikuwa chuo flani tuko hosteli za nje tulikuwa tunalala wanne wanne kwenye deka hizi za vyuoni,

Sasa kitaa kulikuwa na demu anasura mbovu alikuwa anauza chai,
Nakumbuka siku hiyo jamaa yetu mida ya saa sita usiku kamwingiza demu room tukiwa tumelala,
Mara gafla jamaa akaanza kula mzigo, ile miguno kumbe na wenzangu walikuwa wanaisikia tulikuja kujua baadae lakini,

Tulikuwa hatuna pesa alafu ukame ulikuwa wa hatari, wengine hawajawahi hata kula papuchi,

Sasa ile jamaa kashuka kifuani mara gafla jamaa yetu wa pembeni akaingia kimya kimya akaanza kupiga,
Ebanaee uzalendo ukanshida ila nlikuwa na kondomu pale ndan nlizinunuaga kitambo kwaajili ya shem wenu ila akaingia mtini hivyo basi zikawa hazina kazi,
Siku hiyo namimi nkaliunga tukijua kuwa jamaa yetu dully alikuwa analala deka la juu kuwa hajasikia,

Ile namalizia tu nachomoa, dully aliruka tokea juu ya deka hadi chini kama chura fasta naye akaliunga,

Tulicheka sana kuanzia siku hiyo dully tukambatiza jina la chura,

Kimbembe kilikuja siku chache baada ya tukio,
Lile li demu likawa linatangazia watu kuwa lilisha tembea na sisi,
Ukipita tu pale linapouziaga chai linawaonyesha na kuwaambia kuwa yule nshatembea naye,

Ilikua aibu sanaa
Nimecheka sanaa
 
Kitambo sana, kama miaka ya elfu mbili na mbili hiv, enzi hizo niko ni mdogo darasa la pili....

Siuna jua, kama unademu wako na mmeamua kuanza maisha mnaona mpange chumba kimoja .
Sasa ilikua hiv, kipindi hicho tumepanga arusha mm na mama yangu, enz hizo walizinguana na mshua.

Pembeni kulikua na mshikaji wameanza maisha na demu wake. Jamaa alikua mtu wa safar sana, kwenda porin kwa
sana...

Demu wake alikua muoga, bas akawa ananiomba nikalale kwake, nimpe kampan.

Siku moja jamaa akaja usiku, kama saa saba hiv! Nilikua nimell kitandani wakaniamishia kwenye kochi. Wakizani mm ni mtt, wakapiga shoo ya kufa mtu.. jamaa alipiga shoo mpaka saa kumi na moja.

Kwa kumchora demu, asubuhi nika muuliza mbona jana ulilia sana. Hakunijibu akacheka.

Baada ya wiki nikasikia wakisimuliana na bro wangu kwan walikua mrafiki
Mkuu ungejipigia na wewe
 
Kitambo sana, kama miaka ya elfu mbili na mbili hiv, enzi hizo niko ni mdogo darasa la pili....

Siuna jua, kama unademu wako na mmeamua kuanza maisha mnaona mpange chumba kimoja .
Sasa ilikua hiv, kipindi hicho tumepanga arusha mm na mama yangu, enz hizo walizinguana na mshua.

Pembeni kulikua na mshikaji wameanza maisha na demu wake. Jamaa alikua mtu wa safar sana, kwenda porin kwa
sana...

Demu wake alikua muoga, bas akawa ananiomba nikalale kwake, nimpe kampan.

Siku moja jamaa akaja usiku, kama saa saba hiv! Nilikua nimell kitandani wakaniamishia kwenye kochi. Wakizani mm ni mtt, wakapiga shoo ya kufa mtu.. jamaa alipiga shoo mpaka saa kumi na moja.

Kwa kumchora demu, asubuhi nika muuliza mbona jana ulilia sana. Hakunijibu akacheka.

Baada ya wiki nikasikia wakisimuliana na bro wangu kwan walikua mrafiki
We jamaaa umetisha saana
 
Wkt nipo A-level tulipigwa umeme wa miezi miwili.Nilikiwa mimi na mshkaji wangu.

Tukaenda mtaani kupanga chumba. Sasa siku ya X-mass tukaenda club moja pale town.

Tukiwa tunacgeza mziki nikapata kitoto nikawa nacheza nacho mpaka mida ya saa 9 hivi.

Mwezangu alinifata akitaka tusepe, nikakaambia dem tuondoke mi nishachoka, km masihara dem akakubali.

Tukawa tunasepa tuko wa 3, tulitembea kwa miguu mpk gheto.

Tulilala wote kitanda kimoja, wkt nakagegeda jamaa uvumilivu ukamshinda, ikabidi amke kushuhudia mechi, nilipo maliza kimoja jamaa akaungaa.

Aisee kale katoto hatar sana, hakakua kabishi wala nini. Tulikuja kulala mida ya saa 1 hv.

Tumeamka saa 5 tumechoka vibaa, tunatoa harufu vibaya.

Tukaoga nikakasindikiza kile kimanzi. Kila nikienda tanga ndo nilikuwa napooza.


Mbaya zaidi hatukutumia kondom
Watu kama nyie uwa mnanipa Imani kwamba japo na dhambi lakini nitafika Mbinguni tu.
 
niliopoa mtoto wa mchungaji siku ya mkesha wa mwaka mpya tukakokotana hao hadi ndani ya cruza ya kanisa nikamkamua demu vyakutosha ile namaliza tunaskia mlango unafunguliwa na mtuanatoka hatukumuona sababu ya giza yana alishuhudia mchezo hadi mwisho
Huyo atakuwa shetani .
 
Kuna kipindi nilikuwa chuo flani tuko hosteli za nje tulikuwa tunalala wanne wanne kwenye deka hizi za vyuoni,

Sasa kitaa kulikuwa na demu anasura mbovu alikuwa anauza chai,
Nakumbuka siku hiyo jamaa yetu mida ya saa sita usiku kamwingiza demu room tukiwa tumelala,
Mara gafla jamaa akaanza kula mzigo, ile miguno kumbe na wenzangu walikuwa wanaisikia tulikuja kujua baadae lakini,

Tulikuwa hatuna pesa alafu ukame ulikuwa wa hatari, wengine hawajawahi hata kula papuchi,

Sasa ile jamaa kashuka kifuani mara gafla jamaa yetu wa pembeni akaingia kimya kimya akaanza kupiga,
Ebanaee uzalendo ukanshida ila nlikuwa na kondomu pale ndan nlizinunuaga kitambo kwaajili ya shem wenu ila akaingia mtini hivyo basi zikawa hazina kazi,
Siku hiyo namimi nkaliunga tukijua kuwa jamaa yetu dully alikuwa analala deka la juu kuwa hajasikia,

Ile namalizia tu nachomoa, dully aliruka tokea juu ya deka hadi chini kama chura fasta naye akaliunga,

Tulicheka sana kuanzia siku hiyo dully tukambatiza jina la chura,

Kimbembe kilikuja siku chache baada ya tukio,
Lile li demu likawa linatangazia watu kuwa lilisha tembea na sisi,
Ukipita tu pale linapouziaga chai linawaonyesha na kuwaambia kuwa yule nshatembea naye,

Ilikua aibu sanaa
Duhh...
 
Mkuu hakuna anayeweza KUVUMILIA KULALA KITANDA KIMOJA NA WAWILI WAFANYAO MAPENZI KAMA UPO KAMILI,,,sio mwanaume tu,,hata mwanamke havumilii , Mimi binafsi nilishalala na Wanawake wawili KITANDA KIMOJA bila MWANAMKE WANGU KUGUNDUWA,, siku moja alikuja MSICHANA WANGU na friend wake USIKU wanatoka HARUSINI,,,MIMI NAISHI NYUMBA nzima ya vyumba 3,,,DEMU Wangu aliponambiya nakuja,,tena nakuja na RAFIKI yangu,, nikatengeneza mazingira ya KUFICHA FUNGUO ZA VYUMBA VINGINE 2 ili NIMTAFUNE NA YULE RAFIKI YAKE,,,BAADA YA KUTAFUTA FUNGUO BILA MAFANIKIO,,,,ikawa NO WAY LAZIMA tulale either SITTING ROOM au chumbani KWANGU,, nilijuwa DEMU WANGU kwa vyovyote hawezi kukubali tulale SITTING ROOM na RAFIKI YAKE ALALE CHUMBANI KWETU,,,,,,na SUALA LA MGENI KULALA SITTING ROOM Mimi nililipinga,, ikabidi nilazimishe tulale wote chumbani,,,kitanda kimoja,,,,na nilifanya hayo ili NIMTAFUNE NA YULE RAFIKI WA DEMU WANGU,,basi kwa shingo upande DEMU Wangu alikubali tulale wote, nilizima TAA IKAWA GIZA TOTORO chumbani,,,,show ikaanza,,,,kama dk 15 nikaanza KUMSIKIA YULE RAFIKI WA DEMU WANGU ANAHEMA KWA NGUVU SANA,,,,nilichokifanya nikawa napiga show huku MIGUU AU MIKONO YANGU INAMGUSA YULE SHEMEJI,, basi nikaona jinsi anavyoteseka KWA HAMU,, ,,baada ya kumaliza show kama ya nusu SAA hivi DEMU wngu ALIANZA KUKOROMA KWA USINGIZI,,,,,nikiwa nimetulia kati yao,, nikaanza kumgusa tena kama kwa bahati mbaya ,,,,namuona katulia anahema sana. ,,,basi muda huo niliutumia KUMTAFUNA NA YULE SHEMEJI YNGU pale pale KITANDANI,,tena kwa TARATIBU SANA, ,, KWA KUTUMIA ILE style ya PAKA CHONGO,, Shemeji alikuwa mtamu balaa,,,asubuhi nikamwambiya DEMU WANGU anifulie nguo,, akatoka Nje na rundo LA nguo anifulie ,akatuacha na yule friend wake bado tumelala , ,nikatumia muda huo huo KUPATA BAO LA asubuhi subuhi LA USHINDI...basi tangia siku hiyo ikawa WANAPISHANA mchana akija DEMU WANGU,, USIKU anakuja YULE RAFIKI WA DEMU WANGU,, huo ni ushuhuda Wa kweli,,HAKUNA ANAYESALIMIKA PALE UNAPOSHUHUDIA WAWILI WAKIFANYA MAPENZI KITANDA KIMOJA NA WEWE...
Longlive jf
 
Back
Top Bottom