Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Nina brother zangu walikuwa wamepinda kweli walikuwa wakwenda kwa wauza wanzuki wanasubiria mpaka demu amalize kuuza ndio wanamchukua.

Siku moja tukaenda akaopoa tukarudi skani nikaenda kuangalia kama mlango uko wazi na kama wengine wamelala nikakakuta shwali nikwastua wakazama ndani. Umeme ulikuwa umekatika Giza Giza tukaingia ghetto bro akaniambia nilale chini wakaweka godoro dogo chini nikawa nawasikilizia kumbe nao wananisikilizia kama nimelala baadae nikapitiwa na usingizi asubuhi wala sikujua yule Dada alitoka SAA ngapi nikaambulia lawama tu ati jamaa anasema alishindwa kufanya kwakuwa Mimi sikulala kabisa ati kila akitaka kufanya anakuta nawaangalia kitu ambacho haikikuwa kweli nilicheka sana. Yaani jamaa alinichukia sana bila ya Sababu aisee.
 
Kitambo sana nikiwa darasa la pili. Baba mdogo wangu hakuwa na ajira so akaja kuishi na sisi ili baba yangu amtafutie ajira maana alikuwa na connections pale town. Sasa baba mdogo kabla hata hajapata hiyo ajira akawa amempa ujauzito binti fulani pale town halafu huyo binti akafukuzwa kwao ikabidi aje kuishi na sisi home. Mimi nilikuwa nalala na baba mdogo halafu yule bintio alipewa chumba kingine. Basi yule binti akawa anatoroka chumbani kwake anakuja chumba chetu kupigwa mkuyenge eti wanafikiri mimi nimelala. Duuh walikuwa wanapiga show za hatari halafu yule binti full kutoa vilio vya mahaba ni shida aisee ila kwa umri sikuwa natilia maanani kinachoendelea. Baadae mama yangu akawashtukia so kiroho safi akamwambia baba mdogo ahame chumba akawe analala na msichana wake.
 
Kwa nyuzi kama hizi
ccm haitatoka madarakani kamwe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umetisha kwa hii coment yako mkuu ktk kila uzi..itakua ndio brand yako mkuu..hongera sana bonyeza nyote iwe yako na kupata wimbo huo bure..kakika yajayo yana....
 
Mimi bhana tupo chuo na mshkaji wangu aka room mate

Siku hiyo tukaenda kwao meru...nikaona watoto wakali ile mbaya nikamchek mshkaji nikamuuliza wala vipi unawajua akaniambia anawapata fresh basi nikamuambia anitafutie number........akaparangana number akazipata...nikaanza kurusha ndoano mara mtoto akaingia kingi...

Inshu ikawa kutoka kwako sasa...akaniambia kwao lazma watoke wawili ndio ruhusa wanapewa ikabidi jamaa nae aanze kurusha ndoano kwa dada ake sasa.....Mara paah jamaa akafanikiwa ikabakiza shughuli moja tu....kuwatoa arusha kuwaleta MOSHI...

Siku ya siku wakatustrukiza wanakuja alafu Mimi na mchizi tupo mabovu ile mbayaaa pesa ya gest hatuna...tukakubaliana tuwalete room tuangalie mazingira wasipozingua tule mizigo....tukawaleta kila mtu na kitanda chake basi kuhu na huku Mara kila mtu anakula mzigo wake....kale ndo kakawa kamchezo nakumbuka kuna kipindi hadi walikuja wakalala
 
Kitambo sana, kama miaka ya elfu mbili na mbili hiv, enzi hizo niko ni mdogo darasa la pili....

Siuna jua, kama unademu wako na mmeamua kuanza maisha mnaona mpange chumba kimoja .
Sasa ilikua hiv, kipindi hicho tumepanga arusha mm na mama yangu, enz hizo walizinguana na mshua.

Pembeni kulikua na mshikaji wameanza maisha na demu wake. Jamaa alikua mtu wa safar sana, kwenda porin kwa
sana...

Demu wake alikua muoga, bas akawa ananiomba nikalale kwake, nimpe kampan.

Siku moja jamaa akaja usiku, kama saa saba hiv! Nilikua nimell kitandani wakaniamishia kwenye kochi. Wakizani mm ni mtt, wakapiga shoo ya kufa mtu.. jamaa alipiga shoo mpaka saa kumi na moja.

Kwa kumchora demu, asubuhi nika muuliza mbona jana ulilia sana. Hakunijibu akacheka.

Baada ya wiki nikasikia wakisimuliana na bro wangu kwan walikua mrafiki
 
Nimecheka sanaa
 
Mkuu ungejipigia na wewe
 
We jamaaa umetisha saana
 
Watu kama nyie uwa mnanipa Imani kwamba japo na dhambi lakini nitafika Mbinguni tu.
 
niliopoa mtoto wa mchungaji siku ya mkesha wa mwaka mpya tukakokotana hao hadi ndani ya cruza ya kanisa nikamkamua demu vyakutosha ile namaliza tunaskia mlango unafunguliwa na mtuanatoka hatukumuona sababu ya giza yana alishuhudia mchezo hadi mwisho
Huyo atakuwa shetani .
 
Duhh...
 
Longlive jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…