Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Nikiona tu paja hali inakuaga mbaya iwe kulala kitanda kimoja hell no bora niondoke zangu tu.
 
ina maana mkasa huu ni wa wanaume tu.!!??

mbona hatuoni ushuhuda wa mwanamke yeyote akiutoa km watiririkavyo wanaume.

au wanaume hai waliyoyafanya hawakufanya na wanawake nyinyi walifanya na wanawake wa sayar nyengne.!???

me nashangaa wataki me nshawah kupiga wanawake wawili at once rum moja zamu zamu kama mara tatu....hawa watakuwa hawapo jf labda [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
me nashangaa wataki me nshawah kupiga wanawake wawili at once rum moja zamu zamu kama mara tatu....hawa watakuwa hawapo jf labda [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Uliwezaje kupiga bao zaidi ya moja. Ama ilikua unahakikisha haupigi bao mpaka umtombe na mwanamke wa pili.
Maana wanasemaga mwanaume akishapiga bao moja mboo inasinyaa.
 
Uliwezaje kupiga bao zaidi ya moja. Ama ilikua unahakikisha haupigi bao mpaka umtombe na mwanamke wa pili.
Maana wanasemaga mwanaume akishapiga bao moja mboo inasinyaa.

Hayo mambo ya kusinyaa na kuamka tena ni mambo ya vyakula na kichwani kama kisaikolojia hauko poa, sasa mwanaume anakula chips mayai rojo hapo kweli anaweza kumpiga mtu bao mbili ? Ushawah kujiuliza kwanini watu wa kijijin wanaweza kuunganisha goli mbili ? ...Nilikamua huku nakapumzika dakika mbili mashine ikasimama tena nikapiga mwingine nikapumzika asubuh tena nikarudia zoez kama hilo...ila ilikuwa mambo ya ujana na kutest mitambo kama inafanya kazi vizuri....
 
Kuna jamaa yangu alikuwaga anakuja kumla demu wake ghetoni kwangu kipindi ndo nimeanza maisha tu....siku ya kwanza ilikuwa fresh tu ...ya pili na yenyewe sikupata tabu sana ...sasa siku ya tatu demu akawa kama hali ya mimi kuwepo huku akiliwa ameizoea asee full kulia duuh yale mapigo yalinichanganya...sasa baada ya hali kuendelea vile uvumilivu ulinishinda nilichokifanya nikapeleka mkono kwa demu na mimi nianze kupapasa papasa kumbe nimebugi nikawa nampapapasa mkono wa jamaa maana ilikuwa giza ...duh kajamaa kangu kalikuwa kachoyo sana kalichokifanya kakamgeuzia demu wake ukutani kakaendelea na shughuli sasa opportunity ya kupapasa pia nikaikosa cuz border ikawa mimi na kajamaa kangu halafu demu yupo upande...aisee siku hiyo sikulala kabisa ila mwisho wa siku na mimi huyo demu nilimtomb....... kwa muda wng mwingne

jamaa yako alikuonyesha uso wa mbuzi
 
Iyo ilimkuta mshikaji wangu alichukua demu uko anayejiuza akaingia nae magetoni ila geto kulikuwa na washikaji 2 mshikaji wangu na demu wake jumla 4 geto moja jamaa angu akaanza kumla wale jamaa zangu wengine si walishindwa kuvumilia ikabidi wamle wote watatu kwa demu mmoja
 
Nilisafiri kikazi Moro tukiwa na mshikaji, ili kubana matumizi tukachukua room moja double vitanda viwili,usiku tukaenda mziki club moja ilikuwa kama unaenda Ofisi ya mkuu wa Mkoa tukaja na madem wawili kila mmoja na wake,ikawa ni kugegeda kama kwenye muvi kila mtu anamshughulikia wake,noma ilikuja jamaa anagegeda na mm nagegeda anaanza kumkoromea demu wake eti hakatiki kama wangu.
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana, kipindi niko chuo tulikuwa geto na mshikaji wangu wa damu tangu primary., siku moja tukatembelewa na videmu vyetu usiku kwa nyakati tofauti vikagoma kurudi, basi mimi nikalala na demu wangu juu yeye kitanda cha chini jamaa akaanza kula mzigo na mimi mda mfupi nikaliamsha, Demu wa mshikaji akawa anapiga kelele balaa na yale mauno yake yalikuwa hayana mfano then kiunoni alikuwa na shanga mbili nyembamba safi, kwa rangi yake nyeupe kile kiuno kilinitia nyege balaa.., kulivokucha tukaendelea na ratiba zetu kichwani nikiwa na akili lazma nimrambe huyu demu wa mshikaji wangu...ilinichukua miezi3 kuingia kwenye 18 zangu nikagonga mzigo bila jamaa kujua, na sijawahi kujutia kusex nae ilikuwa ni bonge la mechi ambalo sikuwahi kukutana nalo enzi zile, tulishare na mshikaji mpka tunamaliza chuo bila jamaa kujua na tuko marafiki mpaka leo
 
Nilisafiri kikazi Moro tukiwa na mshikaji, ili kubana matumizi tukachukua room moja double vitanda viwili,usiku tukaenda mziki club moja ilikuwa kama unaenda Ofisi ya mkuu wa Mkoa tukaja na madem wawili kila mmoja na wake,ikawa ni kugegeda kama kwenye muvi kila mtu anamshughulikia wake,noma ilikuja jamaa anagegeda na mm nagegeda anaanza kumkoromea demu wake eti hakatiki kama wangu.
mkuu hii tanga nn
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana, kipindi niko chuo tulikuwa geto na mshikaji wangu wa damu tangu primary., siku moja tukatembelewa na videmu vyetu usiku kwa nyakati tofauti vikagoma kurudi, basi mimi nikalala na demu wangu juu yeye kitanda cha chini jamaa akaanza kula mzigo na mimi mda mfupi nikaliamsha, Demu wa mshikaji akawa anapiga kelele balaa na yale mauno yake yalikuwa hayana mfano then kiunoni alikuwa na shanga mbili nyembamba safi, kwa rangi yake nyeupe kile kiuno kilinitia nyege balaa.., kulivokucha tukaendelea na ratiba zetu kichwani nikiwa na akili lazma nimrambe huyu demu wa mshikaji wangu...ilinichukua miezi3 kuingia kwenye 18 zangu nikagonga mzigo bila jamaa kujua, na sijawahi kujutia kusex nae ilikuwa ni bonge la mechi ambalo sikuwahi kukutana nalo enzi zile, tulishare na mshikaji mpka tunamaliza chuo bila jamaa kujua na tuko marafiki mpaka leo
Hata mimi nahisi mshikaji alikuja kumgonga maana alikuwa anamsifia sana
 
Siku moja tumetoka kula sehemu kama SAA Tano hivi usiku. Kwangu umeme umekatika nikamwambia rafiki angu nataka kulala Hotel basi mwanaume wake akasema anatupeleka kulala halafu ataondoka. Tumefika hotel nikashangaa wenzangu wameenda kuoga nikamwambia yule mwanaume hulali hapa. Sasa nikapitiwa na usingizii wakati wao wamekaa kitandani wanapiga story. Nakuja kushtuka SAA kumi na moja asubuhi nasikia miguno tu. Nagueza shingo nakuta bidada yuko juu anashughulika. Nikarudisha zangu shingo upande mwingine ila walivyomaliza nikawaambia nimewaona mlichokua mnafanya
Unatugeuzia story
 
Iliwahi nitokea nilikuwa na rafiki yangu kipindi hicho nalala kwake, kaleta demu gheto kwake, jamaa alianza kupiga show alivyokojoa kalala, kumbe bwana ni wale washikaji wakupiga kimoja analala jumla.
Mshikaji alivyo lofa kamlaza demu katikati then kachapa usingz, usingz ulivyomkolea nikaanza kumchokoza demu kwa kumpapasa Mara ya kwanza alikuwa ananitoa mkono mwishowe akauacha.
Bwanae yule demu genye zimemjaa akaamua kupanda juu taratibu nikapewa viuno vya kufa mtu nikachapa viwili, nilivyomaliza tu nikageuka mzungu wa nne nikalala, alfajir saa 10 kanigeukia nikaosha kimoja nikalala,
Jamaa alivyolala hakuamka mpaka asubuhi alivyokuja kuamka kamwamsha na demu kamsindikiza kwao, Mungu anisamehe yule rafiki yangu hajui mpaka leo.
nishakusamehe bro
 
Back
Top Bottom