Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Aiseee " raha thana" nilichelewa wapi" kupata nafasi ya " huyo Jamaa"....!!???
 
Akapime tena huenda viroload ilikuwa ndogo akati anapima ila sahivi ndo muda muafaka wa kupima
ha ha haha ameshasema " kwamba " miaka 45 ndio Life span ya taifa hili" so " hata akifa wakati Ana umri huo" haimpi shida
 
ha ha haha ameshasema " kwamba " miaka 45 ndio Life span ya taifa hili" so " hata akifa wakati Ana umri huo" haimpi shida
Sema we all gonna die soon or later whats makes difference [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]life logarithms
 
Demu Wewe na huyo mshikaji wote mmepungukiwa
 
Ni mimi mkuu tulikotoka nilipiga kama vi tatu gest sasa demu kwenda kwao ikawa shida usiku ikabidi nije nae geto nikapiga tena kimoja mbona niliona kila kitu nilikuacha tu.
Ahaahaaaaahaaaahaaa hyo ndo us kufunga mwaka
 

[emoji28][emoji28] ko shemeji akiwa na haja na viwil en above hua unamsaidia mshkj?!
 
Haaaaa dogo kumbe ulinichaba siku ile..?
 
Ulishahadithia hii story kipindi cha nyuma kama sikosei
 
Mzigua hapa kuna kitu hujakisema...
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Pole saaana kiongozi
 
Oh my sunday....
Duh
 
hahaha " wakati wa stage ya ukuuaji" usipo pitia " mambo Kama hayo" ukubwani kwako lazima utakuja kusumbuliwa mnoo na wanawake
mkuu mimi sijapitia hayo, ila siamini katika kupata taabu mbeleni maana huwa nazipiga nikiwa pekeyangu
 
kwangu haiwezekani

ingawa kuna siku nilikua salon Dada mmoja akahadithia mumewake alivyokua analala na shoga kitanda kimoja nayeye...mwanzo ilikua ngumu kupata usingizi baadae akaja kuzoea
Kwann isiwezekane??
 
mkuu mimi sijapitia hayo, ila siamini katika kupata taabu mbeleni maana huwa nazipiga nikiwa pekeyangu
huwa inatokea " kwa watu wachache Kama wewe" kuweza kuvuka salama " kadhia ya Hawa viumbe " KE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…