Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Je, unaweza kulala kwenye chumba pamoja na watu wawili wanaofanya mapenzi?

Way back nilikua nasafiri sana na jamaa zangu kujitafutia riziki .....

Tulikua tunashare room kupunguza gharama sasa ulikua ukiwa na show yako unatoa gharama ya chumba cha pamoja afu unachukua chumba kingine kwa gharama zako.

Tukio moja nakumbuka tulikua Chimala, muhudumu alimkubali sana mwana basi tulikula monde mpaka baa inafungwa kimbembe kwenda kulala mwamba ana ata mia ya urithi ikabid alet rum..... Mi nkajifanya nakoroma, wakaanza shughuli pale miguno kama yote, m sina hali sasa yule mjinga sijui kutaka kunionyeshea, sijui ni tungi akawa ashuki nkafinya sana... Baada yakushuka sababu ni usku nkaanza kumpapasa nkajua demu kumbe nimegusa kalio la msela, Daah iyo shtuka yake nilitokwa na cheko wote tukacheka, tukamwelekeza bibie, bibie nae mzungu basi ikawa ni kunyeshana ufundi na jamaa angu siku 2...... Yule shem darling aliinjoy sana company yetu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Siku moja tumetoka kula sehemu kama SAA Tano hivi usiku. Kwangu umeme umekatika nikamwambia rafiki angu nataka kulala Hotel basi mwanaume wake akasema anatupeleka kulala halafu ataondoka. Tumefika hotel nikashangaa wenzangu wameenda kuoga nikamwambia yule mwanaume hulali hapa. Sasa nikapitiwa na usingizii wakati wao wamekaa kitandani wanapiga story. Nakuja kushtuka SAA kumi na moja asubuhi nasikia miguno tu. Nagueza shingo nakuta bidada yuko juu anashughulika. Nikarudisha zangu shingo upande mwingine ila walivyomaliza nikawaambia nimewaona mlichokua mnafanya
Aisee ibilisi alikupita mbali kabsaa?
 
Mkuu inaonesha Kuna story nzur hapa
kwangu haiwezekani

ingawa kuna siku nilikua salon Dada mmoja akahadithia mumewake alivyokua analala na shoga kitanda kimoja nayeye...mwanzo ilikua ngumu kupata usingizi baadae akaja kuzoea
 
kwangu haiwezekani

ingawa kuna siku nilikua salon Dada mmoja akahadithia mumewake alivyokua analala na shoga kitanda kimoja nayeye...mwanzo ilikua ngumu kupata usingizi baadae akaja kuzoea
Umepotea sana siku hizi
 
Yaani nikijua tu chumba cha pili kuna demu kalala peke yake usingizi sipati nitamfanyia fujo weeee sembesu kulala watu wanakazana siwezi
 
Haaaa hahaaaa ... Acha mikwara mbuzi, bro hajawahi kupita SUA hivyo hawezi kuwa na ID ya SUASO!
Aisee bado unabisha tena? Hii SUASO ni ukumbusho wa yule rafiki angu wa Moro niliywkwambiaga last year!!!
 
Siku moja tumetoka kula sehemu kama SAA Tano hivi usiku. Kwangu umeme umekatika nikamwambia rafiki angu nataka kulala Hotel basi mwanaume wake akasema anatupeleka kulala halafu ataondoka. Tumefika hotel nikashangaa wenzangu wameenda kuoga nikamwambia yule mwanaume hulali hapa. Sasa nikapitiwa na usingizii wakati wao wamekaa kitandani wanapiga story. Nakuja kushtuka SAA kumi na moja asubuhi nasikia miguno tu. Nagueza shingo nakuta bidada yuko juu anashughulika. Nikarudisha zangu shingo upande mwingine ila walivyomaliza nikawaambia nimewaona mlichokua mnafanya
Hukuuza mechi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
[emoji28][emoji28] ko shemeji akiwa na haja na viwil en above hua unamsaidia mshkj?!
Yule hakuwa mke wake ni demu tu, unataka kumaanisha kuwa wanawake wote unaotembea nao ni wake zako? Yule siwezi mwita shemeji ni demu tu, and that's why hata yeye aliruhusu hali ya kufanya naye mapenzi tukiwa wote kitanda kimoja.
 
Wakuu, hebu funguka hapa, Je una uwezo wa kustahimili kulala kwenye chumba kimoja na watu wawili wanaofanya mapenzi na ukapata usingizi kabisa?.
Je imeshawahi kukutokea??? View attachment 866615
Kikubwa ni kuweka headphone na sauti mpk juu na kama Mwanaume mwenyewe wa Dar na una uhakika hajatafuna nazi,muhogo wala karanga mbichi, toa headphone baada ya dk4 tu atakuwa anakoroma, tusibishane
 
Ahahaha mi haijawahi kunitokea kwakweli, kusafiri kwangu kote. Adha nilizozipata ni makelele tu ya wafanya mapenzi kwenye magesti enzi hizo miaka ya 90 nilipokuwa nabangaiza mikoani. Kuna siku pale uyole jamaa alikamata kisichana kelele zao gesti nzima hatukulala. Ilipigwa kura aidha wahame ama iwe ni mwendo wa kimya kimya. ikawa mwendo wa kimya hadi kunakucha.
 
Ni mimi mkuu tulikotoka nilipiga kama vi tatu gest sasa demu kwenda kwao ikawa shida usiku ikabidi nije nae geto nikapiga tena kimoja mbona niliona kila kitu nilikuacha tu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom