Je, unaweza kumjua shoga kwa kumuangalia?

Wengine wabeba vyuma lakini hawana marinda.....diamond anapenda sana kuchomekea vibwagizo vya kichoko, huyu atakuwa anawabamiza!
 
Sasa mkuu unashindwa hata namtoto mchanga akipelekewa ziwa ananyonya na kazaliwa hapohapo we ukiona Mwanaume anatabia zakike ujue Huyo Ni Shoga
 
Mi kwa text tu kwa maneno kama haya

..tyu
..xaxa
..kudamshi
..pouwa
..kwa nini jaman ni kile ki imoji
..kuna hawa wanaweka status 30
Bila maana yeyote bora uweke reasonable things

Sory kama nimekukera ...
sawa tyu ba swalehe c tyunaendelea kujidamshi xaxa ucxahau kuleta pichu ya swalehe
pouwa mida ba swalehe
 
Plz kama unayajua ni pm unipe orodha yao maana hat stak achangie chochote changu na mm pia sitak kuchangia upumbav wake
hahah mkuu weka tu umakini kwenye kusoma comments za watu utayajua tu haihitaji masters wala pHd
 
Kuna huyo mmoja yani sikujua kabisa kama ni shoga maana hakuwa na vitabia vya kishoga. Siku moja amelewa akaniambia kuwa anahamu ya kufumuliwa nimtafutie mtu akamfumue nilimshangaa sana ikabd nimuulize hiyo tabia kaanza lini ndo kuanza kunipa Mkasa.
Ukimuona huez jua ni shoga yani ni very gentleman na anamiliki kampuni fulan hv kubwa tu hapa nchini.
 
 
Kama aliweza funguka basi ulimfumua na alikua ana kuwinda siku zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…