Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
Dunia ya sasa imebadilika sana. ni ukweli uliowazi kabisa kuwa ngono kimekuwa sio kitu cha siri sana.
Na uwepo wa ujuaji wa watoto kuhusu ngono umechochewa na mabadiliko mbalimbali yaliyopo ikiwemo Utandawazi kama vile Simu za mikononi, Television na hata muingiliano wa tamaduni za jamii mbalimbali huku waathirika wakubwa wakiwa ni watoto wa kike wanafunzi na hata wa kiume pia.
Athari hizo ni kama vile mimba za utotoni, utoaji mimba, ukahaba, magonjwa ya zinaa na mengine mengi.
Waathirika wakubwa ni watoto kati ya miaka 9 - 17 ambao kuumri wao ni wanafunzi.
Je, wewe kama mzazi unaweza kumpa elimu ya uzazi wa mpango ( unayohusiana na kutokupata mimba zisizotarajiwa ikiwepo njia za kujingika kutopata mimba).
mtoto wako ambae ni wanafunzi? Kama unaweza, Je kwanini unaweza kumpa elimu ya uzazi wa mpango.
Na kama hauwezi, je kwanini hauwezi kumpa elimu ya uzazi wa mpango?
WOTE MUNAKARIBISHWA KUCHANGIA MADA KARIBUNI SANA WANA JF.
Changia kama wewe ni mzazi vaa vazi la baba/ mama
Na uwepo wa ujuaji wa watoto kuhusu ngono umechochewa na mabadiliko mbalimbali yaliyopo ikiwemo Utandawazi kama vile Simu za mikononi, Television na hata muingiliano wa tamaduni za jamii mbalimbali huku waathirika wakubwa wakiwa ni watoto wa kike wanafunzi na hata wa kiume pia.
Athari hizo ni kama vile mimba za utotoni, utoaji mimba, ukahaba, magonjwa ya zinaa na mengine mengi.
Waathirika wakubwa ni watoto kati ya miaka 9 - 17 ambao kuumri wao ni wanafunzi.
Je, wewe kama mzazi unaweza kumpa elimu ya uzazi wa mpango ( unayohusiana na kutokupata mimba zisizotarajiwa ikiwepo njia za kujingika kutopata mimba).
mtoto wako ambae ni wanafunzi? Kama unaweza, Je kwanini unaweza kumpa elimu ya uzazi wa mpango.
Na kama hauwezi, je kwanini hauwezi kumpa elimu ya uzazi wa mpango?
WOTE MUNAKARIBISHWA KUCHANGIA MADA KARIBUNI SANA WANA JF.
Changia kama wewe ni mzazi vaa vazi la baba/ mama