AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Kama kichwa kinavyoeleza. Nazungumzia Shemeji wa kiume au baba yako wa kambo aliyemuoa mama yako mzazi.
Au mshikaji wako anayetoka na dada yako ukamsaidia viagra au vumbi la congo.
Na wewe una dawa ya ukweli ya nguvu za kiume na unajua mtu akipiga hiyo dawa mwanamke ataona cha moto. Je, utamsaidia shemeji yako au baba ako wa kambo au mzazi?
Au mshikaji wako anayetoka na dada yako ukamsaidia viagra au vumbi la congo.
Na wewe una dawa ya ukweli ya nguvu za kiume na unajua mtu akipiga hiyo dawa mwanamke ataona cha moto. Je, utamsaidia shemeji yako au baba ako wa kambo au mzazi?