Hata enzi hizo ni wangapi waliofanikiwa kuwa kama Mr. Nice? Utagundua ni yaleyale mmoja kati ya maelfuYeah! kwa jinsi teknolojia inavyokua wala sina wasi wasi kwamba sanaa itakuja kumlipa.
Ukimtazama Mr Nice wa enzi zake na Diamond wa sasa utagundua ni watu walio sawa ila Diamond anaonekana kufanikiwa kwa kuwa amewika kipindi ambacho teknolojia imekua ndio maana ameweza kuvuta mipaka mpaka duniani.
Hebu jaribu kuwaza Diamond bila youtube, instagram na the like, angeweza kutoboa mpaka Nigeria?
Wasanii wa enzi za Mr Nice walikua maarufu sana E.A kwa sababu ya ukaribu.
Hata wewe jiulize enzi za kina Mr Nice, je wasanii wa Nigeria walikua wanatamba huku kwetu? jibu
Muziki/Muvi/TamthiliaMkuu mda mwingine specify msanii wa nini ? Je unaongelea hadi msanifu majengo sababu yeye pia ni msanii ......futa hio mindset mlee mwanao katika maadili mazuri jaribu pia kumfundisha mambo ambayo haya fundishwi shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mda mwingine specify msanii wa nini ? Je unaongelea hadi msanifu majengo sababu yeye pia ni msanii ......futa hio mindset mlee mwanao katika maadili mazuri jaribu pia kumfundisha mambo ambayo haya fundishwi shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliskia Diamond anakesi kafunguliwa na landlord wake kasababisha hasara kwenye nyumba ya watu na ana madeni ya kodi zaidi ya milion 400
Stereo anakuambiaKuna dogo huku hataki shule hata kidogo.. yeye ana mpango wa kuwa kama Mondi anaamini mziki utamtoa.
Nafuatilia uzi huu kwa karibu sana.
Watoto kama hao ni wa kutia bakora kilasikuKuna dogo huku hataki shule hata kidogo.. yeye ana mpango wa kuwa kama Mondi anaamini mziki utamtoa.
Nafuatilia uzi huu kwa karibu sana.
Mkuu tumetia bakora na kumsimamia akisoma kila siku.. kumbe jamaa anasoma kama nusu saa masaa mengine ukitoka anaanza kutunga mistari.
Nasikia Mr. Nice ana ela mpaka anagongwa biaYeah! kwa jinsi teknolojia inavyokua wala sina wasi wasi kwamba sanaa itakuja kumlipa.
Ukimtazama Mr Nice wa enzi zake na Diamond wa sasa utagundua ni watu walio sawa ila Diamond anaonekana kufanikiwa kwa kuwa amewika kipindi ambacho teknolojia imekua ndio maana ameweza kuvuta mipaka mpaka duniani.
Hebu jaribu kuwaza Diamond bila youtube, instagram na the like, angeweza kutoboa mpaka Nigeria?
Wasanii wa enzi za Mr Nice walikua maarufu sana E.A kwa sababu ya ukaribu.
Hata wewe jiulize enzi za kina Mr Nice, je wasanii wa Nigeria walikua wanatamba huku kwetu? jibu
Wapi Feruz? Daz Baba? OTen? Joslin? Caz T? Zay B? Sister P? Wagosi? Inspector? Dudubaya? Mwinjuma Muumin? Ally Choki? Badi Bakule? Banza Stone(kabla hajafa)? Ngwea (kabla hajafa). Na list ndefu inaendelea.... Hao ni baadhi ya wasanii waliowahi kufanya vizuri, je maisha yao kwasasa yakoje?
Sent using Jamii Forums mobile app