screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Mimi hapana kabisa.
Kibongobongo mwisho wa maisha ya ustaa kwa asilimia kubwa huwa mabaya sana ya kutia huruma.
Nimeanza kufatilia sanaa ya bongo (muziki/muvi) tangu miaka 90 mwishoni lakini hadi leo hii watu 'waliotoboa' kupitia sanaa zao ni wa kuhesabika.
Wengi wameishia kuwa maskini wenye majina makubwa na kugeuka kichekesho mbele ya jamii kiasi kwamba wanajuta kwanini waliwahi kuwa 'mastaa'.
Je, unaweza kumshauri mwanao kuwa msanii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibongobongo mwisho wa maisha ya ustaa kwa asilimia kubwa huwa mabaya sana ya kutia huruma.
Nimeanza kufatilia sanaa ya bongo (muziki/muvi) tangu miaka 90 mwishoni lakini hadi leo hii watu 'waliotoboa' kupitia sanaa zao ni wa kuhesabika.
Wengi wameishia kuwa maskini wenye majina makubwa na kugeuka kichekesho mbele ya jamii kiasi kwamba wanajuta kwanini waliwahi kuwa 'mastaa'.
Je, unaweza kumshauri mwanao kuwa msanii?
Sent using Jamii Forums mobile app