B-Boy sterioStereo anakuambia
Usiache shule mziki haulipi dogo, kua hapa kunahitaji miaka wiki ndogo.../
Stereo dangerous a.k.a singa singaB-Boy sterio
One love
Kwa nini umzuie kufanya mziki? Ongea nae kirafiki tena sana mtaenda sawa, si unajua binadamu huwa tunakua na hulka fulani hivi ya kutaka kujua kwa nini kitu fulani kinazuiwa?Mkuu tumetia bakora na kumsimamia akisoma kila siku.. kumbe jamaa anasoma kama nusu saa masaa mengine ukitoka anaanza kutunga mistari.
Nimemtafutia historia za wasanii waliosugua miaka zaidi ya 10 bila kutoboa.. nikamtafutia history za wasanii wenye elimu na wanaofanya vizuri kwenye mziki.
Lakini dogo anaona kama vile mimi namuonea wivu na kipaji chake.. eti sitaki afanikiwe kimuziki ndio maana namwambia asome.
Je huyo mmoja kati ya maelfu unayosema umeshamjua ni nani? huenda ndo huyo mwanao utakaemkataza.Hata enzi hizo ni wangapi waliofanikiwa kuwa kama Mr. Nice? Utagundua ni yaleyale mmoja kati ya maelfu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezekano wa kutoboa upo ila probability ni ndogo mno, je utamshauri mwanao awekeze sehemu ambayo ni kama gambling?Je huyo mmoja kati ya maelfu unayosema umeshamjua ni nani? huenda ndo huyo mwanao utakaemkataza.
Binafsi mimi sitakuja kumzuia mwanangu kama atahitaji, ila tutawekeza kotekote(elimu na sanaa)
Yeah! kwa jinsi teknolojia inavyokua wala sina wasi wasi kwamba sanaa itakuja kumlipa.
Ukimtazama Mr Nice wa enzi zake na Diamond wa sasa utagundua ni watu walio sawa ila Diamond anaonekana kufanikiwa kwa kuwa amewika kipindi ambacho teknolojia imekua ndio maana ameweza kuvuta mipaka mpaka duniani.
Hebu jaribu kuwaza Diamond bila youtube, instagram na the like, angeweza kutoboa mpaka Nigeria?
Wasanii wa enzi za Mr Nice walikua maarufu sana E.A kwa sababu ya ukaribu.
Hata wewe jiulize enzi za kina Mr Nice, je wasanii wa Nigeria walikua wanatamba huku kwetu? jibu
Wapi Saida Karoli? Mr. Nice? Feruz? Daz Baba? OTen? Joslin? Caz T? Zay B? Sister P? Wagosi? Inspector? Dudubaya? Mwinjuma Muumin? Ally Choki? Badi Bakule? Banza Stone(kabla hajafa)? Ngwea (kabla hajafa)? Bambo? Norah? Kibakuli? Matumaini? Sinta? Nina?Johari? Na list ndefu inaendelea.... Hao ni baadhi tu ya wasanii waliowahi kufanya vizuri, je maisha yao kwasasa yakoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mbele wengi wanatoboa kiukweliukweli, ndo maana nimezungumzia kibongobongoWengi wao walikuwa hawana elimu na hawakufanya muziki kama business. Fuatilia wasanii kama jay z au P didy wamepata mali zaidi nje ya muziki yaani ukishakuwa kwenye spotlight tayari ni platform ya wewe kufanya zaidi ila kibongobongo ni upuuzi tu wa ngono na pombe kama tulivyo mtaani
Mtoto wangu akiwa na kipaji exceptional !!!.... sio kumruhusu tu, ntakuwa manager wake kabsaaa [emoji4][emoji4][emoji4]ili kuhakikisha anakuwa brand na jinsi ya kutengeneza pesa lakini anapata elimu ya kumsaidia hata nisipokuwepo duniani
Bila sacrifise za wazazi leo usingemjua Beyonce, Michael Jackson au hata kibongobongo Diamond platnumz
Maisha ya usanii ni magumu sana,unakuwa na jina kubwa ila huna kitu ,au unaweza kuwa kwenye peak ukafanikiwa lakini talent tu ikishuka hata kama umeinvest sana na una mali kama huzungumzwi lazima upate stress ,unakuta msanii alikuwa peak na jina kubwa lakini baada ya kufulia haheshimiwi tena na akikumbuka kina Poshie queen hawezi tena kuwamudu na kwenda mahotelini na baa kali basi lazima avute unga
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Kwa mbele wengi wanatoboa kiukweliukweli, ndo maana nimezungumzia kibongobongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mondi kafanikiwa Sana alafu anadaiwa kwenye jengo la biashara tokea arudi bongo kutokea ufaransa umesikia Tena anadaiwa? diamond ni balozi wa kampuni 7 kubwa Pepsi,niceone,voda, parimatch n.k hapa nchini moja ni kinywaji Cha ufaransa ukija kwenye label yake kaajilri si watu chini ya 60 hapo ujazungumzia media, mauzo ya nyimbo, pesa za show n.kNiliskia Diamond anakesi kafunguliwa na landlord wake kasababisha hasara kwenye nyumba ya watu na ana madeni ya kodi zaidi ya milion 400
na saizi show zimebuma labda views
unaongea kiushabiki...............kumbuka kama ni pesa za show kuna middle men wanakula chao,kuna kulipia ukumbi waweza shangaa watoka na 20% ya hela uliyoingiza........kuhusu media kumbuka kunawatu wameweka hela zao wkala dili naye kwa kutumia jina lake....nahauwezi jua mkataba wake na wamiliki halisi ukoje..waeza shangaa halipwi ila wakamuhakikishia kumpa airtime ya nyimbo zake na kumtangaza only thatMondi kafanikiwa Sana alafu anadaiwa kwenye jengo la biashara tokea arudi bongo kutokea ufaransa umesikia Tena anadaiwa? diamond ni balozi wa kampuni 7 kubwa Pepsi,niceone,voda, parimatch n.k hapa nchini moja ni kinywaji Cha ufaransa ukija kwenye label yake kaajilri si watu chini ya 60 hapo ujazungumzia media, mauzo ya nyimbo, pesa za show n.k
Wewe ndo unaongea kiushibiki angekuwa aingizi hela si angekuwa Kama Mr nice,juma natureunaongea kiushabiki...............kumbuka kama ni pesa za show kuna middle men wanakula chao,kuna kulipia ukumbi waweza shangaa watoka na 20% ya hela uliyoingiza........kuhusu media kumbuka kunawatu wameweka hela zao wkala dili naye kwa kutumia jina lake....nahauwezi jua mkataba wake na wamiliki halisi ukoje..waeza shangaa halipwi ila wakamuhakikishia kumpa airtime ya nyimbo zake na kumtangaza only that
behind the scene biashara sio simple kama udhaniavyo.......wawekezaji hawawezi kubali kulaliwa kizembe!!!
tusibishane,nauhakika kuwa hata connection na hawa watu huna...............achana na ubishi na watu ambao tuna connection huku juuWewe ndo unaongea kiushibiki angekuwa aingizi hela si angekuwa Kama Mr nice,juma nature
SawaMondi kafanikiwa Sana alafu anadaiwa kwenye jengo la biashara tokea arudi bongo kutokea ufaransa umesikia Tena anadaiwa? diamond ni balozi wa kampuni 7 kubwa Pepsi,niceone,voda, parimatch n.k hapa nchini moja ni kinywaji Cha ufaransa ukija kwenye label yake kaajilri si watu chini ya 60 hapo ujazungumzia media, mauzo ya nyimbo, pesa za show n.k