Jifunze kuficha upumbavu wako kijana.Acha kuja hapa na habari za udaku kutoka blog uchwara ambazo huandika hbr za kusadikika zisizo kuw na fact kuhusu mastaa ili kukuza brand.Jiulize...Ikiwa Mond anadaiwa kiasi cha 400M, umeshaskia kesi yoyote mahakamani.?? na kama hakuna kesi tutaamini vipi kuwa anadaiwa kweli..?? au ndo unataka tuamini kua huenda anaedai kaamua kusamehe kiasi hicho cha fedha tena kwa mtu anaedai kuwa ana hela..??
Kuhusu Konde, amini kwamba hakuna nyumba iliyouzwa, ile ni business strategy ili kutafta huruma ya mashabiki.?? Rayvanny kafukuzwa kaenda wapi.?? acha uongo vanny bd yupo pale. Kuhusu huo mchanganuo wa fedha ulioweka hapo, labd ni wa biashara ya karanga au maandazi, mipango ya show ya mond haiko kipumbav hvy.